zungu santana
Member
- Oct 14, 2014
- 23
- 18
Tunapo waambia Ccm jambo waache ubishi wao wakijinga Tena wakome kabisaa.
Tuliwaambia huenda zoezi hili la bvr lisikamilike kulingana na ratiba wakabisha Waziri mkuu akabisha jensta Muhagama akabisha mama makinda nae akabisha
Sasa Leo lubuva kasema leo wamesha andikisha nusu tu ya watanzania wenye kustahiki kuandikishwa
Na mimi nawauliza tokea januari Sasa tuko katikati ya mwezi Wa saba ndo wamefikisha nusu weka miezi saba mingine zoezi litakamilika mwaka ujao kura tupige lini?
Tuliwaambia huenda zoezi hili la bvr lisikamilike kulingana na ratiba wakabisha Waziri mkuu akabisha jensta Muhagama akabisha mama makinda nae akabisha
Sasa Leo lubuva kasema leo wamesha andikisha nusu tu ya watanzania wenye kustahiki kuandikishwa
Na mimi nawauliza tokea januari Sasa tuko katikati ya mwezi Wa saba ndo wamefikisha nusu weka miezi saba mingine zoezi litakamilika mwaka ujao kura tupige lini?