Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,650
- 218,108
- Thread starter
- #21
kuna tetesi kwamba ndio Bashite mwenyeweHuna hutofauti na bashite
kuna tetesi kwamba ndio Bashite mwenyeweHuna hutofauti na bashite
Hivi Mtu kama Kitilla Mkumbo mtu wa kushika chaki na ukatibu mkuu wa wizara ya maji wapi na wapi ?Utasikia waziri ni post ya kisiasa hakuna haja ya kuwa mtaalam/professional wa hiyo wizara. Kwamba kuna wataalam kama makatibu wakuu. Sijui Kitila Mkumbo ni mtaalam wa maji. Nadhani kwa sasa ni kwenda mbele tu, haiangaliwi sana professionalism.
Je Kimei ni mfanyabiashara ?Hiyo wizara Angepewa CEO wa CRDB Kimei..
Wafanyabiashara wengi sana wakubwa hawana ugomvi wowote na TRA kwahiyo tukiangalia watu makini hakutakuwa na conflict of interestMkuu vipi Conflicts of Interest kati yake na Biashara zake na TRA??
Asipolipa kodi, TRA ambayo iko chini yake watamkamata?
Umeyasikia malalamiko ya wafanyabiashara juzi ? unapaswa kuniomba radhi haraka sana !Next time uwepo mwenyewe au usitume mwakilishi zezeta
Maliasili iongozwe na mvuvi
Viwanda na fundi cherehani