Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 360,991 Reaction score 831,561 Jan 19, 2023 #1 Hivi hatuwezi kukutana na kutengeneza kitu cha pamoja? Maana penye wengi pana mengi Nawasilisha
wa stendi JF-Expert Member Joined Jul 7, 2016 Posts 26,008 Reaction score 28,342 Jan 19, 2023 #2 Wengine tunaogopa utatuloga
Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 360,991 Reaction score 831,561 Jan 19, 2023 Thread starter #3 wa stendi said: Wengine tunaogopa utatuloga Click to expand... Nimeshaacha na nikatoa taarifa hapahapa.. Sirogi tena
wa stendi said: Wengine tunaogopa utatuloga Click to expand... Nimeshaacha na nikatoa taarifa hapahapa.. Sirogi tena
Dormant Account JF-Expert Member Joined Apr 5, 2022 Posts 11,307 Reaction score 32,791 Jan 19, 2023 #4
Aaliyyah JF-Expert Member Joined Mar 20, 2022 Posts 19,999 Reaction score 48,503 Jan 19, 2023 #5 Kitugani?
Nijosnotes Member Joined Aug 1, 2021 Posts 97 Reaction score 99 Jan 19, 2023 #6 JF watuanzishie JF Github tupeane maujuzi kwenye open source, jukwaa la Tech la wauza simu sahivi.
Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 360,991 Reaction score 831,561 Jan 20, 2023 Thread starter #7 sophy27 said: Kitugani? Click to expand... Kuweza kuangalia kiwango cha umeme au gas kwenye simu Kutengeneza kitu kama Tik-Tok nknk
sophy27 said: Kitugani? Click to expand... Kuweza kuangalia kiwango cha umeme au gas kwenye simu Kutengeneza kitu kama Tik-Tok nknk
Eustow Jw Member Joined Jan 1, 2019 Posts 36 Reaction score 62 Jan 20, 2023 #8 Mshana Jr said: Dah Click to expand... Kwa fake Id nadhani watu wataogopa kujitokeza live, Kuhofia usalama wao.
Mshana Jr said: Dah Click to expand... Kwa fake Id nadhani watu wataogopa kujitokeza live, Kuhofia usalama wao.
Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 360,991 Reaction score 831,561 Jan 20, 2023 Thread starter #9 Eustow Jw said: Kwa fake Id nadhani watu wataogopa kujitokeza live, Kuhofia usalama wao. Click to expand... Nadhani sio wote na bado kuna namna mtu anaweza kujiunga bila kujitambulisha id take ya huku
Eustow Jw said: Kwa fake Id nadhani watu wataogopa kujitokeza live, Kuhofia usalama wao. Click to expand... Nadhani sio wote na bado kuna namna mtu anaweza kujiunga bila kujitambulisha id take ya huku
Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 360,991 Reaction score 831,561 Jan 20, 2023 Thread starter #10
Gidbang JF-Expert Member Joined Jun 1, 2014 Posts 4,485 Reaction score 4,011 Jan 20, 2023 #11 Mshana Jr said: Hivi hatuwezi kukutana na kutengeneza kitu cha pamoja? Maana penye wengi pana mengi Nawasilisha Click to expand... Mbona vingi sana basi tu wabongo hatunaga tabia ya kujiamini na kuweka akili pamoja....
Mshana Jr said: Hivi hatuwezi kukutana na kutengeneza kitu cha pamoja? Maana penye wengi pana mengi Nawasilisha Click to expand... Mbona vingi sana basi tu wabongo hatunaga tabia ya kujiamini na kuweka akili pamoja....
Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 360,991 Reaction score 831,561 Jan 20, 2023 Thread starter #12 Gidbang said: Mbona vingi sana basi tu wabongo hatunaga tabia ya kujiamini na kuweka akili pamoja.... Click to expand... Tujaribu sisi tuwe mbegu
Gidbang said: Mbona vingi sana basi tu wabongo hatunaga tabia ya kujiamini na kuweka akili pamoja.... Click to expand... Tujaribu sisi tuwe mbegu
Bujibuji Simba Nyamaume JF-Expert Member Joined Feb 4, 2009 Posts 76,579 Reaction score 161,433 Jan 20, 2023 #13 Tuna mengi ya kuchangia uwanja ukifunguliwa
Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 360,991 Reaction score 831,561 Jan 20, 2023 Thread starter #14 Bujibuji Simba Nyamaume said: Tuna mengi ya kuchangia uwanja ukifunguliwa Click to expand... Lets do something bro!
Bujibuji Simba Nyamaume said: Tuna mengi ya kuchangia uwanja ukifunguliwa Click to expand... Lets do something bro!
Joannah JF-Expert Member Joined May 8, 2020 Posts 21,709 Reaction score 51,135 Jan 20, 2023 #15 Eustow Jw said: Kwa fake Id nadhani watu wataogopa kujitokeza live, Kuhofia usalama wao. Click to expand... Sidhani Kama watakutana kwa majina fake maana hicho kitakuwa kitu serious!huku JF kitaendelea na majina fake kwenye project majina halisi
Eustow Jw said: Kwa fake Id nadhani watu wataogopa kujitokeza live, Kuhofia usalama wao. Click to expand... Sidhani Kama watakutana kwa majina fake maana hicho kitakuwa kitu serious!huku JF kitaendelea na majina fake kwenye project majina halisi
Joannah JF-Expert Member Joined May 8, 2020 Posts 21,709 Reaction score 51,135 Jan 20, 2023 #16 Kila ta kheri ma IT!hii Ni fursa
Holly Star JF-Expert Member Joined Aug 25, 2018 Posts 4,327 Reaction score 8,185 Jan 20, 2023 #17 Mshana Jr said: Nimeshaacha na nikatoa taarifa hapahapa.. Sirogi tena Click to expand... Mshana kama umeacha hii maneno urafiki na mm umeisha aisee sikufaham haunifaham nlikuwa nakukubali sana na kukuamini saana. Haijapita siku sijatembelea thread yako
Mshana Jr said: Nimeshaacha na nikatoa taarifa hapahapa.. Sirogi tena Click to expand... Mshana kama umeacha hii maneno urafiki na mm umeisha aisee sikufaham haunifaham nlikuwa nakukubali sana na kukuamini saana. Haijapita siku sijatembelea thread yako
SYLLOGIST! JF-Expert Member Joined Dec 28, 2007 Posts 8,853 Reaction score 8,248 Jan 20, 2023 #18 Wazo zuri. Mshana Jr said: Hivi hatuwezi kukutana na kutengeneza kitu cha pamoja? Maana penye wengi pana mengi Nawasilisha Click to expand... Kuna mmoja ameleta kikwazo chanya. Its a Step Tafuta suluhisho mapema-Modus Operandi?? Programming; Nawasilisha Near or at near machine level!
Wazo zuri. Mshana Jr said: Hivi hatuwezi kukutana na kutengeneza kitu cha pamoja? Maana penye wengi pana mengi Nawasilisha Click to expand... Kuna mmoja ameleta kikwazo chanya. Its a Step Tafuta suluhisho mapema-Modus Operandi?? Programming; Nawasilisha Near or at near machine level!
SYLLOGIST! JF-Expert Member Joined Dec 28, 2007 Posts 8,853 Reaction score 8,248 Jan 20, 2023 #19 Pia...JF Phone Rahisi zaidi.
Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 360,991 Reaction score 831,561 Jan 20, 2023 Thread starter #20 Joannah said: Sidhani Kama watakutana kwa majina fake maana hicho kitakuwa kitu serious!huku JF kitaendelea na majina fake kwenye project majina halisi Click to expand... That's my point.
Joannah said: Sidhani Kama watakutana kwa majina fake maana hicho kitakuwa kitu serious!huku JF kitaendelea na majina fake kwenye project majina halisi Click to expand... That's my point.