Wazito PPF wachota ‘vijisenti’

Status
Not open for further replies.
Naam,leo ni 31/03/2011.
 
Jamani jamani hii nchi inakwenda wapi?

Mbona wamefanya tena? Harafu ni wale wale?

Mkurugenzi wa Fedha Martini Mmari, na Mkurugenzi wa ukaguzi wa ndani (Boys' two MEN) walilipwa 2008 kwa uizi hawakukamatwa, wakajifanya wamemaliza mkataba. Tarehe 31/03/2011 umeisha mwingine wameanza mwingine. Hivi kuna haja gani ya kuwaita wa mkataba wakati wanajiendelezea bila kufuata taratibu za manunuzi?

Wamevuta nyingine 200M each.

Hawa wawili ndio waliojiuzia viwanja vinne vya PPF kwa 16M kwa vyote bahari Beach na kuporomosha maghorofa.

Zitto una kazi ya ziada

UTOUH una kazi. Tumia wakaguzi wengine sio TAC wala Deloit and Touche, wote ni wezi tu






 
Hivi CAG hili limemshinda?



 
Naomba kuuliza huyu William Erio au Eriyo (lazima kuna tofauti) Si ndio Ndugu au anauhusiano na William Benjamin Mkapa au Mama Anna Mkapa?

Siye aliyewekwa kindugu hapo? au nimekosea?

Huyu W Erio ndiye mjomba wa WB Mkapa sasa kuna kitu hapo alafu swali linafuata sio uwajibikaji wa Government machineries na CAG in particular kazi haionekani kabisa ila majigambo ndio mengi sana kuwa madudu ya mashirika haya ni hapa lakini hili PPF juu ya endowment hakuna majibu mpaka leo. Hapo kuna kazi kweli???
 
Kuna mambo yanafanyika Tanzania tu,huwezi kusikia yakifanyika mahali popote pale katika dunia hii.
 
Kuna mambo yanafanyika Tanzania tu,huwezi kusikia yakifanyika mahali popote pale katika dunia hii.

Kibugumo usiwe na wasiwasi, Serikali wala haijalala inaenda hatua kwa hatua. PPF soon itahamishiwa rasmi WIZARA YA KAZI NA AJIRA badala ya wizara ya fedha.

Kwa maana hiyo tutegemee uwajibikaji maana mama Kabaka ni jembe, timu yake iko vizuri, Ukichanganya na SSRA oh! mbona kumekucha. Wanachama wa PPF sasa kilio chenu kitasikilizwa. Miungu watu wajiandae..

Mungu ibariki Tanzania.

Queen Esther
 

Tena QE hapo ss madudu yote ambayo wamekuwa wanayafanya pale PPF under MOFEA kula dadadeki kwa Waziri Kabaka na SSRA Irene hayatapewa pumzi kabisa ni bora wanze kuli-resign kabla ya mizuka ya good governance na responsibility ikaanza kukata kama msumeno, nobody will survive there.
 
Mh. Waziri wa Fedha Mama Saada

Umeagiza watu waadilifu wakujulishe wezi wa Mashirika ya UMMA. Anza na PPF.

Waliiba zaidi ya Bilioni 2 kupitia Group Endowment. Wakawafukuza kazi wale waliokuwa wakiwapinga uso kwa uso mafisadi hawa wakiongozwa na DG Bw. William Erio akisaidiwa na Mwenyekiti wa Bodi wa wakati huo na sasa amerudishwa tena.

PPF ijiandae kulipa mamilioni kwa kufukuza wafanyakazi bila kosa, tayari wameshalipa 800 milioni kwa mmoja licha ya pesa walizochezea kuwalipa mawakili, ambao inasemekana Bw erio ni shareholder wao.


Fanyia kazi tukiona uko serious, tutakuletea mengi
 
Hii nondo imekaa vzuri na imegonga ikulu Kubwa ya Ppf kwa haya yote yaliyotolewa na Okoanchi! Wadau karibu kwenye jamvi la kuokoa shirika!
 

ERIO William mototo wa Rais Mstaafu William Mkapa haguswi. amedokoa weeeeeeee, no one dares to touch him.

Ila naamini kuna siku atadakwa.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…