Waziri wetu Dkt. Gwajima, huyu “Anko T” Wizara yako imeshindwa kabisa kumuweka sawa?

Waziri wetu Dkt. Gwajima, huyu “Anko T” Wizara yako imeshindwa kabisa kumuweka sawa?

Nitaenda Misaa yaTatu

JF-Expert Member
Joined
Apr 14, 2025
Posts
403
Reaction score
810
Mama Shikamoo pole na majukumu ya kulipambania Taifa letu Kwa ujumla wake.

Sina mengi sana ila nataka kujua kuhusu huyu mdogo wetu,kijana, wetu Maarufu Kwa jina la Anko T.

Huyu kijana Kwa muda mrefu Sasa nimekuwa nikimuona kwenye mitandao ya kijamii Kwakweli nashindwa nimuweke kundi lipi kati ya KE au ME.

Vaa yake,Ongea yake na cheza yake inatatiza sana. Je serikali imeshindwa vipi kumchukua na kwenda kumpima kujua ulijari wake Kisha kukaa nae na kumwambia wanaume hatupaswi tuwe Hivi?

Kinachositikisha zaidi nikuona uungwaji mkono unatoka Kwa wanawake Hivi uchungu wenu siku hizi hauna maana kabisa kiasi hicho?


Mkae mkijua huyu Anko Kuna wimbi la Watoto wakiume watamuiga na matokeo yake baada ya miaka michache mbele mtaona Watoto wakina Anko T wengi kama uyoga.

Je huko mbele kama Taifa tutakuwa na jeshi kweli? Ikitokea dharula vijana tunahitajika kwenda kulipigania Taifa huyu Anko T atakuwa mmoja wetu kweli?

Haya haya tulisema kuhusu wakina Joti na yule kijana mwingine jina nimesahau kuwa maigizo Yao Yana mlengo wa kushoto ila hatukueleweka matokeo yake ndo haya ya akina Anko T na wengine wengi.


Mama Nina uhakika una kazi nzito mno ila unaweza sana. Binafisi nakupa 5 Tena na Tena.

Ahsantee sana.
 
Utawezaje kuthibitisha kama yupo hivyo unavyomzungumzia?
hapo ndio shida na ndio maana wanawapuuzia tu labda kama wakiamua kuwatia hatiani kwa kuwategea mtego au kuwavizia wakifanya iyo vitendo vya kuingiliana ,ushahidi uwepo wa kutosha,ukikurupuka kuwakamata bila ushahidi wa kutosha inaweza kula kwako
 
hapo ndio shida na ndio maana wanawapuuzia tu labda kama wakiamua kuwatia hatiani kwa kuwategea mtego au kuwavizia wakifanya iyo vitendo vya kuingiliana ,ushahidi uwepo wa kutosha,ukikurupuka kuwakamata bila ushahidi wa kutosha inaweza kula kwako
Hata wakipata ushahidi hakuna lolote wanafanya. Yule polisi wa zenji video zake zilivuja na sura yake wazi, akapelekwa mahakamani kafunguliwa kesi, daktari akampima akakutwa kweli huwa anaingiliwa. Mwisho wa siku kaachiwa huru atakuwa anadunda zake mtaani.
Kwahiyo hii serikali yetu ni ya kinafiki, haya mambo wanayapenda.
RoadLofa
 
hapo ndio shida na ndio maana wanawapuuzia tu labda kama wakiamua kuwatia hatiani kwa kuwategea mtego au kuwavizia wakifanya iyo vitendo vya kuingiliana ,ushahidi uwepo wa kutosha,ukikurupuka kuwakamata bila ushahidi wa kutosha inaweza kula kwako
Kumbe mchakato wake ni mrefu kiasi hicho, basi tutegemee vijana wengi kuharibika.
 
Hana picha huyo anko wako?
20250818_125319.jpg
 
Back
Top Bottom