Waziri wa Viwanda Ciril Chami apata Ajali

Muhosin unahitaji ukombozi wa akili, (saikolojia) serious, nitafanya maombi kwa ajili yako. unaichukia sana serikali. It is believed 90% ya ajali barabarni husababishwa na uzembe wa madereva. Sio suala la kuilaumu serikali. Kuna mwanafasihi mmoja anasema if u want to see changes, be a change agent, that look at urselef kwanza. Hata great philisopher Jesus anasema jitoe kibanzi cha jicho lako kwanza. take ur part first. Inawezekana hunaa lolote ambalo umefanya zaidi ya kupiga kelele humu JF. Ukipanda gari dereva akienda mwendo kasi waona sawa tu, akiendesha huku anaongea na simu waona bwee tu, ajali ikitokea u blame the government. Binadamuuuu.

Mamaa, unapatikana wapi nikufuate unikomboe kisaikolojia? Maombi yangekuwa yanafanya kazi yusingekuwa na shida Hapa duniani, hata ajali zisingekuwepo!

Abiria hupiga simu polisi kuripoti udereva mbaya, ama polisi hawafanyii kazi au wanakamata na kupokea rushwa.

Remmy, maneno mengi tuache. Fanyeni jambo moja tu, moja tu. Kamata makosa yote ya usalama barabarani fikisha
Watuhumiwa mahakamani au lipisha faini halali. Ndani ya mwezi mmoja ajali zitapungua zaidi ya nusu.

Tatizo la ajali hizi za tz ni polisi kupokea rushwa, siyo barabara. Je hilo siyo tatizo la serikali? Ukiambia serikali ukweli unaichukia?
 
RIP waziri wetu, tulikupenda lakini mungu kakupenda zaidi, tuko pamoja katika kipindi hiki kigumu, Mwana ametoa na Bwana ametoa Jina lake Lihimidiwe, Binadamu tumweumbwa kwa madongo na tutarudi mavumbini, ameni....
 
Na leo mchana nimekutana na Magufuli Bagamoyo Road na mgari mkuuubwa wa serikali. Yale yale!

Sikukuu ya Pasaka viongozi mmewang'ang'ania madereva, sawa hamjali mali za serikali, basi hata utu kwa hawa watumishi wenzenu hamna? Wenzenu hawana sikukuu?

Yale magari yana kiu!! Yanakunywa mafuta kama hayana akili nzuri. Sasa aibu yao ni kwamba yakilamba tu mafuta yaliyochakachuliwa yanafilia mbali, yaliyokufa yamejaa TOYOTA kibao!! Cha kushangaza serikali haishughulikii wachakachuaji wa mafuta bado uchakachuaji ni kama jana!! Tuwe tukiwazomea siku za weekend na sikukuu mwisho wataacha kuyatumia na kama hawana magari yao wapande taxi
 
Pole yake Mungu amempa onyo kwa maovu anayoyatenda ni kipindi cha kuongoka na kutenda mema

mi siamini sababu hakuna fisadi nchi hii kama RA,EL,JK,CA,NIMROD MKONO,MALECELA,MAGUFULI, MKAPA ETC,..lakini hawapati ajali,..mungu haukumu namna hiyo ndo maana mafisadi wanazidi kuprosper,..labda on judgement day,..si unajua wabongo ni kama tumerogwa kwa woga,yaani hatuwezi kuanzisha vita KWA MAFISADI,..wanaiba rasilimali,..hivi hawa wanajeshi wtu hawaoni huu ufisadi?kwa nini wasipindue serikali?au nao mafisadi kama shimbo,..tz kanchi haka sikapendi...basi tu sina pa KUKIMBILIA
 
kama ni wazazi wako mbona unatafuta taarifa hapa umetelekezwa nini? wewe ndio utuambie wazima au wamekufa, na gari letu lina hali gani? maana hata wao hawana huruma kila siku wazazi wanakufa mahospitalini kwa kukosa huduma ndogo tu wao wanaishi hoteni kama vile hawana nyumba zao
Mchungaji mbona unatustua, ujui wengine ni wazazi wetu mch please be serius bwana
 
hapa mkuu NYAKAGENI yuko right, hawa ni sawa na nyoka uwezi kucheza nao watakugonga tu, hakuna muda tena wa kuwapa love wakati wao watu wanauwaa na polisi wanashangilia na kusema ni sawa
Wewe ni mpumbavu na ustaarabu huna..
 
RIP waziri wetu, tulikupenda lakini mungu kakupenda zaidi, tuko pamoja katika kipindi hiki kigumu, Mwana ametoa na Bwana ametoa Jina lake Lihimidiwe, Binadamu tumweumbwa kwa madongo na tutarudi mavumbini, ameni....
Watu hawama hamu na hawa viongozi mpaka wanawaombea wafe. Wao wenyewe wametuonyesha hawatujali, Ijumaa Kuu unaamsha dereva na shangingi la serikali kiguu na njia, kwa nini wasiombewe madua ya kufa?
 
Bora wangekufa wote,inamaana hao wana thamani kubwa kuliko wamama wajawazito?si huyu Chami na chama chake ndio waliidhinisha bajaji zipelekwe vijijini kwenye barabara mbaya!?hawana faida bora wafe
 
Pole kwa wengi waliopata ajali akiwemo huyu mbunge, acheni mwendo kasi wakati huu wa Pasaka.:whoo:
 
badala ya kutulia nyumbani wasome miswada wanatangatanga tadhani wauza maji pale jangwani ..haya ukiulizwa ulikuwa unaenda wapi utajibu nini wewe Chami? ungekufa tu bana mmezidi sana na nyie...kutwa kuzurura utadhani wauza karanga bana
 
kama ni wazazi wako mbona unatafuta taarifa hapa umetelekezwa nini? wewe ndio utuambie wazima au wamekufa, na gari letu lina hali gani? maana hata wao hawana huruma kila siku wazazi wanakufa mahospitalini kwa kukosa huduma ndogo tu wao wanaishi hoteni kama vile hawana nyumba zao

Pole unalia:spy:
 
kaka yao yuko katavi anakagua shamba lake la mahindi...hahaaa nchi hii ina vibweka sijawahi kuona mweee...hapo bado ****** sijui atakuwa yuko wapi muda huu...maana anapenda kupumzika zaidi kuliko kufanya kazi na hivi anapenda kuchezea chezea simu watakuwa wamemnunulia betri za ziada kaweka mfukoni kabisa
 
pole sana mh.Usisahau kusali maana Mungu bado anakupenda uishi.Ukisha pona na kurudi kazini jitahidi kuishauri serikali yako izingatie haki mambo mengine ni laana za kupokwa kwa haki za wanyonge na viongozi wa njii hii.
 
Pole yake Mungu amempa onyo kwa maovu anayoyatenda ni kipindi cha kuongoka na kutenda mema

Hii ni mara ya pili anapata ajali kwa kipindi hiki kifupi toka amepata uwaziri.. Toka amepata ajali ya kwanza maeneo ya Kibaha kama miezi miwili hivi imepita, na jana tena amepata ajali nyingine ambayo inasemekana ilikuwa mbaya sana, ila Mungu yu pamoja naye, nadhani ni wakati wake sasa kunyoosha mapito yake kabla ya kile alichosema Rev Massanilo akijatimia.

Kwenye uchaguzi mkuu mwaka jana alicheza rafu sana ndio maana nasisitiza atengeneze mapito yake mapema! Kabla ya naibu wake ajachukua hiyo nafasi.
 
Hebu nimpigie simu Chuwa (Mzee wa Sunguchini Night Club) anipe updates. Maana huyu ni swahiba wake sana pamoja na Komba (Mwimbaji wa taarabu)!
 
Back
Top Bottom