Ojuolegbha
JF-Expert Member
- Sep 6, 2020
- 741
- 479
Waziri wa Viwanda na Biashara Dkt. Ashatu Kijaji (Mb) atembelea Kiwanda cha Magodoro cha TANFOAM kilichopo Jijini Arusha kujionea shughuli za uzalishaji magodoro na kisikiliza changamoto walizonazo, tarehe 01 Agosti, 2023.