Stuxnet
JF-Expert Member
- Feb 12, 2011
- 17,562
- 27,633
VIDEO:
@TunduALissu , na ukosefu wa haki katika uendeshaji wa siasa.
View: https://x.com/Jambotv_/status/1913827455850119224?t=JWa3mF0HEhHnqIvfLSZ0Jg&s=0
Hao ni RC kupitia Askofu Pissa, President wa TEC kwenye ibada ya Lindi
Hiyo ni KKKT -Morogoro
Vuguvugu la No Reforms No Elections ndilo lilitawala kwenye sherehe za Pasaka ya mwaka huu kupitia matamko ya Maaskofu kutoka kwenye madhehebu ya "mainstream"
Hii tena siyo ya kubeza bali ni kuchukua hatua bila kujali Tundu anakabiliwa na kesi ya uhaini na CHADEMA hawajasaini maadili ya uchaguzi.
Nini kimetufikisha hapa??
Ni matokeo ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa 2024 unaosimamiwa na TAMISEMI. TAMISEMI ina Wakurugenzi wa Halmashauri (DEDs) ambao ndio walikuwa wasimamizi wakuu wa uchaguzi kwenye majimbo na ndiyo waliotangaza matokeo, Boss wao ni Mohamed Mchengerwa ambaye ni mkwe wa Rais Samia.
Mchengerwa kutaka kumuonyesha mama kuwa anasimamia "masilahi" yake, akaamua kuazima ukurasa wa faili la "UCHAFUZI" wa 2019 chini ya Dikteta Magu.
Ushauri:
Samia huyu Mchengerwa atakuharibia pia uchaguzi mkuu wa 2025. Mtoe mkweo kwenye hiyo wizara, utapata uungwaji mkono wa kutosha
@TunduALissu , na ukosefu wa haki katika uendeshaji wa siasa.
View: https://x.com/Jambotv_/status/1913827455850119224?t=JWa3mF0HEhHnqIvfLSZ0Jg&s=0
Hao ni RC kupitia Askofu Pissa, President wa TEC kwenye ibada ya Lindi
Hiyo ni KKKT -Morogoro
Vuguvugu la No Reforms No Elections ndilo lilitawala kwenye sherehe za Pasaka ya mwaka huu kupitia matamko ya Maaskofu kutoka kwenye madhehebu ya "mainstream"
Hii tena siyo ya kubeza bali ni kuchukua hatua bila kujali Tundu anakabiliwa na kesi ya uhaini na CHADEMA hawajasaini maadili ya uchaguzi.
Nini kimetufikisha hapa??
Ni matokeo ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa 2024 unaosimamiwa na TAMISEMI. TAMISEMI ina Wakurugenzi wa Halmashauri (DEDs) ambao ndio walikuwa wasimamizi wakuu wa uchaguzi kwenye majimbo na ndiyo waliotangaza matokeo, Boss wao ni Mohamed Mchengerwa ambaye ni mkwe wa Rais Samia.
Mchengerwa kutaka kumuonyesha mama kuwa anasimamia "masilahi" yake, akaamua kuazima ukurasa wa faili la "UCHAFUZI" wa 2019 chini ya Dikteta Magu.
Ushauri:
Samia huyu Mchengerwa atakuharibia pia uchaguzi mkuu wa 2025. Mtoe mkweo kwenye hiyo wizara, utapata uungwaji mkono wa kutosha