Kuna adha ya upungufu wa MITA za luku pamoja na nguzo. Imekuwa ni kupokezana, mwaka jana taarifa ktka ofisi za Tanesco mita zilikuwa haba. Cha kushangaza mwaka umeanza, wateja wote wahaohitaji nguzo hawapatiwi huduma. Ni miezi sasa imepita. Tumechoka kusubiri................. Anza na hili.