Uchaguzi 2020 Waziri wa Mambo ya Nje Sweden: Misingi ya kidemokrasia lazima ilindwe

Watu wa JF mnashangaza na kuchekesha.

Tanzania ina asilimia kubwa ya watu masikini ambao hawana hata hiyo elimu ya kukariri.
Na wengi kati ya hao masikini hawajui internet ni nini hivyo hata mitandao ya kijamii kama JF hawaitambui ambako chadema ndipo walipokuwa.
Ila CCM ilisikika kwenye radio ambazo asilimia kubwa watu wasiojiweza ambao ni masikini wanazo sababu radio ni cheap kuliko simu yenye internet.

Hawajui yanayotokea kama kutoongezwa mishahara au kukosa ajira sababu hata shule hawakwenda na hata hawajaajiriwa na serikali.
Hivyo hayo hawayaoni.

Jamii Forums ina members 1000000 tu.
Na kwa kukisia asilimia 50-65 tu kati ya hao ndo walikuwa CHADEMA.
Na wengi ni wanachuo waliokosa ajira.
Wafanyakazi wa serikali ambao hawajaongezwa mishahara.
Wastaafu waliokosa mafao yao.
Wafanya biashara nk
Pia hao ni wachache ukilinganisha na masikini walioko Tanzania.

Sasa fikiria watu 550000 wa jf ulinganishe na mamilioni ya masikini wengi wasio na elimu yoyote ambao wao wanaishi ili wapate chakula na ngono.
Hata ukiwapa chakula,kofia,nguo basi watapiga kula chama chochote kile.
Wao kupiga kura ni kama ushabiki wa simba na yanga.
Ndio maana huku mtaani kwangu watu walikuwa wakicheza uchi barabarani sababu ya ushindi.
Hawajali kuhusu mazingira mabovu wanayoishi au mfumo mbovu wa elimu wala haki zao mradi wao waendelee kuishi tu wapate chakula na ngono.

Hivyo mnavyoandika kama JamiiForums ndio Tanzania nzima lazima nitilie shaka ufahamu wenu.

Hao wazungu wangekuja kuona uhalisia wa watu waliopiga kura.
Asilimia kubwa hawajitambui sababu ya umasikini physically and mentally.

Nb: Nimeandika kama mtazania na sio kwa itikadi za kisiasa.
Nimeandika ili muone uhalisia na sio kulalamika bila ya kufikiri.

Hakuna kilichoibiwa isipokuwa mindset ya kushindwa inapojaribu kupambana na uhalisia.
Na hao wazungu kujali maslahi yao binafsi.

Tokeni humu jf nendeni nje ya nyumba zenu tembeeni mitaa ya uswahilini na huko vijijini mkaone wapiga kula.
Jamiiforums sio Tanzania nzima mkumbuke.
 
Na
mshangao ni kupungua kwa wabunge wa upinzani kwa kiasi kikubwa badala ya kuongezeka.Lakini hii siri ya ushindi wa ajabu ipo siku itavuja.Yaana wamefanya kosa kubwa sana la kiufundi kujipatia ushindi mnono,wangejipa ushindi mwembamba wasingeshitukiwa.Mikakati mingine huwa ya hovyo sana,ilipangwa bila kuangalia effect yake itakuaje.Yaani hapakuwa na fundi,ukila na asiyeona usimshike mkono atajua unamkombea chakula.Haya sasa wanaoitwa mabeberu wamepata hoja ya kusema.
Wakurugenzi ndiyo walozidisha chumvi kwa wizi huu walishindana kutoa matokeo yaelekea mkurugenzi aloshinda kwa kura nyingi huenda akapanda cheo na kuwa waziri flani.
 
Yaliyofanyika uchaguzi wa mwaka huu nchini Tanzania ni ujuha wa hali ya juu wa kiwango hata cha kiongozi mwenye akili ndogo kabisa, hawezi kufanya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu wa jf mnashangaza na kuchekesha.

Tanzania ina asilimia kubwa ya watu masikini ambao hawana hata hiyo elimu ya kukariri.
Na wengi kati ya hao masikini hawajui internet ni nini hivyo hata mitandao ya kijamii kama jf hawaitambui ambako chadema ndipo walipokiwa.
Ila ccm ilisikika kwenye radio ambazo asilimia kubwa watu wasiojiweza ambao ni masikini wanazo sababu radio ni cheap kuliko simu yenye internet.

Hawajui yanayotokea kama kutoongezwa mishahara au kukosa ajira sababu hata shule hawakwenda na hata hawajaajiriwa na serikali.
Hivyo hayo hawayaoni.

Jamii Forums ina members 1000000 tu.
Na kwa kukisia asilimia 50-65 tu kati ya hao ndo walikuwa chadema.
Na wengi ni wanachuo.
Wafanyakazi wa serikali.
Wastaafu waliokosa mafao yao.
Wafanya biashara nk
Pia hao ni wachache ukilinganisha na masikini walioko Tanzania.

Sasa fikiria watu 550000 wa jf ulinganishe na mamilioni ya masikini wengi wasio na elimu yoyote ambao wao wanaishi ili wapate chakula na ngono.
Hata ukiwapa chakula,kofia,nguo basi watapiga kula chama chochote kile.
Wao kupiga kura ni kama ushabiki wa simba na yanga.
Ndio maana huku mtaani kwangu watu walikuwa wakicheza uchi barabarani sababu ya ushindi.
Hawajali kuhusu mazingira mabovu wanayoishi au mfumo mbovu wa elimu wala haki zao mradi wao waendelee kuishi tu wapate chakula na ngono.

Hivyo mnavyoandika kama jamiiforums ndio Tanzania nzima lazima nitilie shaka ufahamu wenu.

Hao wazungu wangekuja kuona uhalisia wa watu waliopiga kura.
Asilimia kubwa hawajitambui sababu ya umasikini physically and mentally.

Nb: Nimeandika kama mtazania na sio kwa itikadi za kisiasa.
Nimeandika ili muone uhalisia na sio kulalamika bila ya kufikiri.

Hakuna kilichoibiwa isipokuwa mindset ya kushindwa inapojaribu kupambana na uhalisia.
Na hao wazungu kujali maslahi yao binafsi.

Tokeni humu jf nendeni nje ya nyumba zenu tembeeni mitaa ya uswahilini na huko vijijini mkaone wapiga kula.
Jamiiforums sio Tanzania nzima mkumbuke.

Umewaambia ukweli Teenager ila hawasikiagi na hapa watakuja wakifoka
😁😁
 
Mshangao ni kupungua kwa wabunge wa upinzani kwa kiasi kikubwa badala ya kuongezeka.Lakini hii siri ya ushindi wa ajabu ipo siku itavuja. Yaana wamefanya kosa kubwa sana la kiufundi kujipatia ushindi mnono,wangejipa ushindi mwembamba wasingeshitukiwa. Mikakati mingine huwa ya hovyo sana,ilipangwa bila kuangalia effect yake itakuaje. Yaani hapakuwa na fundi,ukila na asiyeona usimshike mkono atajua unamkombea chakula.Haya sasa wanaoitwa mabeberu wamepata hoja ya kusema.
Unajua ouvu uliopangwa na mwenye akili huwa ni tofauti na uovu uliopangwa na mtu mwenye akili ndogo.

CCM wamekuwa wanafanya uovu chaguzi zote, lakini huwa wanafanya kwa akili ya kiwango fulani. Safari hii uovu umeelekezwa na mtu asiye na akili, ukabuniwa na watu wajinga, ukaratibiwa na watu wenye akili ndogo, mwishoni kilichotokea ni ujuha wa hali ya juu ambao hauwezi kufichika.

Bila ya muingiliano mzuri wa uchumi wetu na wa mataifa mengine, kumalizika kwa SGR ni ndoto, Kukamilika kwa Stiglers Gorge ni mategemeo hewa, kuongezeja kwa mishahara ya wafanyakazi katika maana ya CPI ni mategemeo mfu, kushuka kwa thamani ya shilingi ni dhahiri, kusinyaa kwa ajira hakukwepeki, kuongezeka kwa ugumu wa maisha kutashuhudiwa na watu wote, kupungua au kutoweka kwa uwekezaji kutaonekana na kila mwenye jicho la utambuzi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hao watu wanapoongea hayo maneno bila ya kuichukulia huu utawala hatua yoyote kwa kuiwekea vikwazo ni sawa tu na kutusanifu wahanga wa huu utawala wa kiimla.
 
Nadhani wapinzani wamejifunza ni wakati sasa wa kudemand katiba mpya na tume huru na sidhani watakubali kushiriki igizo kama hili 2025! Meanwhile nchi imefikishwa hapo na Ccm sasa ni muda wa kuvuna walichokipanda zikianza sanctions hapo hazitachagua!
 
View attachment 1618192

Anaandika...

Troubled by events in #Tanzania. Serious allegations of irregularities and low number of observers undermine credibility of elections. Reported arrests of opposition leaders are concerning. Fundamental principles of democracy and the rule of law must be protected....
Hakuna uchaguzi Tanzania kilichofanyika ni CCM kuulawiti kuubaka kuunajisi uchaguzi kwa njia haramu za kishetani
 
Nadhani wapinzani wamejifunza ni wakati sasa wa kudemand katiba mpya na tume huru na sidhani watakubali kushiriki igizo kama hili 2025! Meanwhile nchi imefikishwa hapo na Ccm sasa ni muda wa kuvuna walichokipanda zikianza sanctions hapo hazitachagua!
2025 ni mbali mno Yaani watanzania wakae na mateso manyanyaso uonevu wa CCM mpaka 2025?
 
Mshangao ni kupungua kwa wabunge wa upinzani kwa kiasi kikubwa badala ya kuongezeka.Lakini hii siri ya ushindi wa ajabu ipo siku itavuja. Yaana wamefanya kosa kubwa sana la kiufundi kujipatia ushindi mnono,wangejipa ushindi mwembamba wasingeshitukiwa. Mikakati mingine huwa ya hovyo sana,ilipangwa bila kuangalia effect yake itakuaje. Yaani hapakuwa na fundi,ukila na asiyeona usimshike mkono atajua unamkombea chakula.Haya sasa wanaoitwa mabeberu wamepata hoja ya kusema.
Mojawapo ya washauri wakuu wa CCM ni cyprian Musiba na Le mutuz unategemea nini hapo?
 
Mungu walaani wazungu! Wamepigwa bumbuwazi kuona wananchi wengi hawakudanganyika na janja yao ya kutupandikizia msaliti!
Watanzania wametetea demokrasi yetu kwa kuchagua wagombea wa CCM kwa kura nyingi. Wazungu wataanza kuelewa kuwa na sisi tunajua kama wao!
Wanajifanya wanatupenda saana! Sisi tumeisha wajulia. Tunawapenda pia. "
Wananchi wa wapi unawasemea? Maana wananchi wenye Akili timamu hawakuichagua CCM
 
Mojawapo ya washauri wakuu wa CCM ni cyprian Musiba na Le mutuz unategemea nini hapo?
Hao nao ni watanzania wana haki ya kushauri... na sio kuishauri CCM tuu, hata wewe hapo wanakushauri usikubali kutumika kwa maslahi ya bobuamstadam
 
Shida mnaziona nyie mimi sina shida na sioni shida huko mbeleni nipo nafanya yangu ....shida zako usizilazimishe kwa wengine.....unadhani kila mtu humu ana maisha ya kuunga unga kama yako
Matajiri wafanyabiashara wasio na maisha ya kuunga unga wametaabika sana chini ya utawala huu kwa kubambikiwa kodi kubwa na TRA baadhi kupewa kesi za uhujumu uchumi kienyeji kwa uonevu na wengine kuporwa pesa zao na BOT pindi zikitumwa tokea nje na ikitokea wakapiga kelele hutishiwa kubambikiwa kesi za utakatishaji fedha, hakuna mwenye raha furaha 100% kwenye utawala huu wa mtukufu labda ni wale tu wenye mamlaka ya kushiriki vitendo vya kuharalisha uonevu moja kwa moja.
 
Hao nao ni watanzania wana haki ya kushauri... na sio kuishauri CCM tuu, hata wewe hapo wanakushauri usikubali kutumika kwa maslahi ya bobuamstadam
Bila wewe kwenda Dodoma na Bashite kumpiga risasi angefikaje Belgium? Bila wewe kumpiga risasi asingejuana na Amsterdam, huoni kuwa njama zako na za cyprian Musiba na wenzenu kutaka kumuua ndizo zimemfikisha hapo
 
Back
Top Bottom