Waziri wa mambo ya ndani, wala rushwa jeshi la polisi hawahapa............!!!!!

Shagiguku

JF-Expert Member
Jan 9, 2010
407
133
Mheshimiwa waziri wa mambo ya ndani, napenda nikufahamishe kwamba, ukiwa mkoani mwanza ukaingia katika kituo cha polisi cha kati (mwanza central police) kisha ukapanda ngazi na kuingia katika ofisi ya UHASIBU basi humo utakutana na watu wengi sana wanakwenda kulipa malipo mbalimbali.

Na humo ndani ya ofisi hiyo utakuta kuna meza tatu, basi wewe fika katika meza yoyote kati ya hizo ukiomba kulipia kitu chochote kwa mfano: road licence, kadi iliyopotea, kitambulisho kilichopotea, lincence ya udureva, liseni ya ukaguzi wa magari nk, nk. Baada ya kuelezwa fedha halali unayotakiwa kulipia ili upatiwe ile risti yetu ya njano tunayoitambua kwamba ni ya serikali, basi hapo ndo utasikia mmoja wa wahasibu hao (hasa atakayekuwa akikushughulikia suala lako) akikuambia uongezepo TSH. 5,000/= eti ya maji ya kunywa kwa vile mle ndani ya ofisi wamesweti sana hakuna hewa ya kutosha, tena anakwambia wazi wazi bila aibu wala woga wowote ule akisisitiza kwamba kama siyo hivo basi urudi ukapange foleni (ambayo kwa kweli ni ndefu tu).

Sasa mheshimiwa waziri hii rushwa inafanyika hadi ndani ya ofisi nyeti kama hii, je hao maturafiki huko barabarani watatubakisha kweli!!?

Na kama ni suala la kusweti ndani ya ofisi ya serikali basi tunawaomba muwawekee feni au kiyoyozi ili wasiwe wanasweti ili wasiendelee kutuomba sisi wateja TSH. 5,000/= ya maji ya kunywa.

Napenda kuwasilisha.

Nakala kwa:
1. Waziri wa mambo ya ndani ya nchi mh. Nchimbi, J. - kwa taarifa.
2. Inspekta Jenerali wa Jeshi la Polisi Saidi Mwema. - kwa taarifa.
3. Kamanda wa polisi mkoa wa mwanza. - kwa ufuatiliaji.
4. Mkuu wa kituo cha polisi cha kati mwanza. - sijui wewe kwa kitu gani maana walarushwa uko nao ofisini kwako...!!
5. Idara ya uhasibu jeshi la polisi kituo cha kati mwanza. - tumekwisha wafahamu hivo mkae mkao wa kushughulikiwa.
6. Great Thinkers wote kwa taarifa.
7. Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania - Jakaya Mrisho kikwete - ukipenda fanya kusafisha hili jeshi usipopenda waache ili waendelee kutukaanga sisi wapiga kura tuliokuweka madarakani.....!!
 
daaah...juzitu nilikua samora avenue TRA nikihitaji kuprint TIN ertificate angu(nilishaiprocess kabla ilikua imebakitu kuprit ili TIN iwe active) cha ajabu twa nzima netwek haikuepo. ikaja kurudi saa kumi, kilichotokea ni rushwa as if unanunua bigi jii
dukani. wala haikua aibu, unaoa hela unahudumiwa.....! nikapigwa na butwaaa....dada mmoja kishoka pale akanambia anko we kaa hivyohivo mwisho ofisi zifungwe uondoke.
daaah................!
 
Wee Jamaa mnoko kweli, ivi uliposema mtanitambua kumbe ulimaanisha kweli. Umetangaza vita na sisi, vita ni vita tu
 
Duh ! Asante kwa taarifa murua ndugu , na kwa niaba ya Great thinkers wote naipokea rasmi taarifa yako kwa ajili ya uchunguzi zaidi .
 
daaah...juzitu nilikua samora avenue TRA nikihitaji kuprint TIN ertificate angu(nilishaiprocess kabla ilikua imebakitu kuprit ili TIN iwe active) cha ajabu twa nzima netwek haikuepo. ikaja kurudi saa kumi, kilichotokea ni rushwa as if unanunua bigi jii
dukani. wala haikua aibu, unaoa hela unahudumiwa.....! nikapigwa na butwaaa....dada mmoja kishoka pale akanambia anko we kaa hivyohivo mwisho ofisi zifungwe uondoke.
daaah................!

kutokuepo kwa network TRA ni mradi wa rushwa!inaudhi sana.kama mwenge TRA eti hakuna jenereta
 
Mheshimiwa waziri wa mambo ya ndani, napenda nikufahamishe kwamba, ukiwa mkoani mwanza ukaingia katika kituo cha polisi cha kati (mwanza central police) kisha ukapanda ngazi na kuingia katika ofisi ya UHASIBU basi humo utakutana na watu wengi sana wanakwenda kulipa malipo mbalimbali.

Na humo ndani ya ofisi hiyo utakuta kuna meza tatu, basi wewe fika katika meza yoyote kati ya hizo ukiomba kulipia kitu chochote kwa mfano: road licence, kadi iliyopotea, kitambulisho kilichopotea, lincence ya udureva, liseni ya ukaguzi wa magari nk, nk. Baada ya kuelezwa fedha halali unayotakiwa kulipia ili upatiwe ile risti yetu ya njano tunayoitambua kwamba ni ya serikali, basi hapo ndo utasikia mmoja wa wahasibu hao (hasa atakayekuwa akikushughulikia suala lako) akikuambia uongezepo TSH. 5,000/= eti ya maji ya kunywa kwa vile mle ndani ya ofisi wamesweti sana hakuna hewa ya kutosha, tena anakwambia wazi wazi bila aibu wala woga wowote ule akisisitiza kwamba kama siyo hivo basi urudi ukapange foleni (ambayo kwa kweli ni ndefu tu).

Sasa mheshimiwa waziri hii rushwa inafanyika hadi ndani ya ofisi nyeti kama hii, je hao maturafiki huko barabarani watatubakisha kweli!!?

Na kama ni suala la kusweti ndani ya ofisi ya serikali basi tunawaomba muwawekee feni au kiyoyozi ili wasiwe wanasweti ili wasiendelee kutuomba sisi wateja TSH. 5,000/= ya maji ya kunywa.

Napenda kuwasilisha.

Nakala kwa:
1. Waziri wa mambo ya ndani ya nchi mh. Nchimbi, J. - kwa taarifa.
2. Inspekta Jenerali wa Jeshi la Polisi Saidi Mwema. - kwa taarifa.
3. Kamanda wa polisi mkoa wa mwanza. - kwa ufuatiliaji.
4. Mkuu wa kituo cha polisi cha kati mwanza. - sijui wewe kwa kitu gani maana walarushwa uko nao ofisini kwako...!!
5. Idara ya uhasibu jeshi la polisi kituo cha kati mwanza. - tumekwisha wafahamu hivo mkae mkao wa kushughulikiwa.
6. Great Thinkers wote kwa taarifa.
7. Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania - Jakaya Mrisho kikwete - ukipenda fanya kusafisha hili jeshi usipopenda waache ili waendelee kutukaanga sisi wapiga kura tuliokuweka madarakani.....!!

Asante kwa taarifa tume itaundwa.
 
we jamaa acha njaa bana we unatumia sh ngap kwenye gari yako?yan elfu tano ndo mpaka jf tujadili,zaidi ya yote wamekwambia kama vipi kaa kwenye folen unajua wafanyakaz weng wa serkali njaa tupu na humu ndo wanatokea,imagine mtu kasimama barabaran pale ubungo jua kali anavuta magari we uko kwenye AC tu,halaf watu huwa wakaidi tu unakuta road licence imeisha hela hujapata trafic akikuotea inabidi uongee vizuri hawana nongwa jamaa,habari ndo hiyo ukitaka
huo mfumo wa unoko tuambie tuanze na biashara zako au ofcn kwako tuone kama uko smart.
 
Mheshimiwa waziri wa mambo ya ndani, napenda nikufahamishe kwamba, ukiwa mkoani mwanza ukaingia katika kituo cha polisi cha kati (mwanza central police) kisha ukapanda ngazi na kuingia katika ofisi ya UHASIBU basi humo utakutana na watu wengi sana wanakwenda kulipa malipo mbalimbali.

Na humo ndani ya ofisi hiyo utakuta kuna meza tatu, basi wewe fika katika meza yoyote kati ya hizo ukiomba kulipia kitu chochote kwa mfano: road licence, kadi iliyopotea, kitambulisho kilichopotea, lincence ya udureva, liseni ya ukaguzi wa magari nk, nk. Baada ya kuelezwa fedha halali unayotakiwa kulipia ili upatiwe ile risti yetu ya njano tunayoitambua kwamba ni ya serikali, basi hapo ndo utasikia mmoja wa wahasibu hao (hasa atakayekuwa akikushughulikia suala lako) akikuambia uongezepo TSH. 5,000/= eti ya maji ya kunywa kwa vile mle ndani ya ofisi wamesweti sana hakuna hewa ya kutosha, tena anakwambia wazi wazi bila aibu wala woga wowote ule akisisitiza kwamba kama siyo hivo basi urudi ukapange foleni (ambayo kwa kweli ni ndefu tu).

Sasa mheshimiwa waziri hii rushwa inafanyika hadi ndani ya ofisi nyeti kama hii, je hao maturafiki huko barabarani watatubakisha kweli!!?

Na kama ni suala la kusweti ndani ya ofisi ya serikali basi tunawaomba muwawekee feni au kiyoyozi ili wasiwe wanasweti ili wasiendelee kutuomba sisi wateja TSH. 5,000/= ya maji ya kunywa.

Napenda kuwasilisha.

Nakala kwa:
1. Waziri wa mambo ya ndani ya nchi mh. Nchimbi, J. - kwa taarifa.
2. Inspekta Jenerali wa Jeshi la Polisi Saidi Mwema. - kwa taarifa.
3. Kamanda wa polisi mkoa wa mwanza. - kwa ufuatiliaji.
4. Mkuu wa kituo cha polisi cha kati mwanza. - sijui wewe kwa kitu gani maana walarushwa uko nao ofisini kwako...!!
5. Idara ya uhasibu jeshi la polisi kituo cha kati mwanza. - tumekwisha wafahamu hivo mkae mkao wa kushughulikiwa.
6. Great Thinkers wote kwa taarifa.
7. Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania - Jakaya Mrisho kikwete - ukipenda fanya kusafisha hili jeshi usipopenda waache ili waendelee kutukaanga sisi wapiga kura tuliokuweka madarakani.....!!

Pole sana, Ila Cku nyingine Jaribu kufuata utaratibu wa kufuata foleni,ndio ulalamike.
 
ukweli mtupu kwenye hiyo ofisi kuna jamaa flani mweusi wanamwita poti jamaa anapenda pesa huyo,
 
wewe toa kitu upate kitu fupisha mkono ile kwako kila ofisi inanuka rushwa we unawaona police tu. tena anakuambia ukweli mpe hela ya maji? ungelizwa kimya kimya je?
 
[FONT=times new
roman]Mheshimiwa waziri wa mambo ya ndani, napenda nikufahamishe
kwamba, ukiwa mkoani mwanza ukaingia katika kituo cha polisi cha kati
(mwanza central police) kisha ukapanda ngazi na kuingia katika ofisi ya
UHASIBU basi humo utakutana na watu wengi sana wanakwenda kulipa malipo
mbalimbali.

Na humo ndani ya ofisi hiyo utakuta kuna meza tatu, basi wewe fika
katika meza yoyote kati ya hizo ukiomba kulipia kitu chochote kwa mfano:
road licence, kadi iliyopotea, kitambulisho kilichopotea, lincence ya
udureva, liseni ya ukaguzi wa magari nk, nk. Baada ya kuelezwa fedha
halali unayotakiwa kulipia ili upatiwe ile risti yetu ya njano
tunayoitambua kwamba ni ya serikali, basi hapo ndo utasikia mmoja wa
wahasibu hao (hasa atakayekuwa akikushughulikia suala lako) akikuambia
uongezepo TSH. 5,000/= eti ya maji ya kunywa kwa vile mle ndani ya ofisi
wamesweti sana hakuna hewa ya kutosha, tena anakwambia wazi wazi bila
aibu wala woga wowote ule akisisitiza kwamba kama siyo hivo basi urudi
ukapange foleni (ambayo kwa kweli ni ndefu tu).

Sasa mheshimiwa waziri hii rushwa inafanyika hadi ndani ya ofisi nyeti
kama hii, je hao maturafiki huko barabarani watatubakisha kweli!!?

Na kama ni suala la kusweti ndani ya ofisi ya serikali basi tunawaomba
muwawekee feni au kiyoyozi ili wasiwe wanasweti ili wasiendelee kutuomba
sisi wateja TSH. 5,000/= ya maji ya kunywa.

Napenda kuwasilisha.

Nakala kwa:
1. Waziri wa mambo ya ndani ya nchi mh. Nchimbi, J. - kwa taarifa.
2. Inspekta Jenerali wa Jeshi la Polisi Saidi Mwema. - kwa taarifa.
3. Kamanda wa polisi mkoa wa mwanza. - kwa ufuatiliaji.
4. Mkuu wa kituo cha polisi cha kati mwanza. - sijui wewe kwa kitu gani
maana walarushwa uko nao ofisini kwako...!!
5. Idara ya uhasibu jeshi la polisi kituo cha kati mwanza. - tumekwisha
wafahamu hivo mkae mkao wa kushughulikiwa.
6. Great Thinkers wote kwa taarifa.
7. Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania - Jakaya Mrisho kikwete -
ukipenda fanya kusafisha hili jeshi usipopenda waache ili waendelee
kutukaanga sisi wapiga kura tuliokuweka madarakani.....!!
[/FONT]

We nae ni mtoa rushwa! kwa nini usipange foleni?
 
wewe toa kitu upate kitu fupisha mkono ile kwako kila ofisi inanuka rushwa we unawaona police tu. tena anakuambia ukweli mpe hela ya maji? ungelizwa kimya kimya je?
 
:-*Lakini jamani mpokea rushwa na mtoa rushwa wote wanamakosa, kwanini mtu utoe rushwa? kwanini uone uvivu kufuata utaratibu uliowekwa au kupanga foleni ili hudumiwe? kwanini ushawishi mwenzio kukuomba rushwa? kwani hakuna watu wanaopanga foleni na kuhudumiwa vizuri, rushwa hii ni tabia ya mtu binafsi mtoaji na mpokea sio kikundi cha watu fulani ,Kampuni wala Taasisi . Unapotaka huduma alafu mtu anayetaka kukuhudumia katika kampuni, Taasisi ama kikundi cha watu akakuomba rushwa , inatakiwa umripoti kwa kiongozi wake si kuna uongozi? kwani bila huyo hakuna mtu mwingine atakayeweza kukuhudumia? tuwe tuna waripoti watoa rushwa na wapokea rushwa kwa viongozi wao mimi naamini kila kampuni au Taasisi lazima kutakuwa na kiongozi anayesimamia katika eneo lile, maana hakuna uhusiano wowote wa kuomba 5000 na vitu vya ofisini kama feni na kinyoyozi , tusikubali kutoa rushwa ili tupate huduma
 
we jamaa acha njaa bana we unatumia sh ngap kwenye gari yako?yan elfu tano ndo mpaka jf tujadili,zaidi ya yote wamekwambia kama vipi kaa kwenye folen unajua wafanyakaz weng wa serkali njaa tupu na humu ndo wanatokea,imagine mtu kasimama barabaran pale ubungo jua kali anavuta magari we uko kwenye AC tu,halaf watu huwa wakaidi tu unakuta road licence imeisha hela hujapata trafic akikuotea inabidi uongee vizuri hawana nongwa jamaa,habari ndo hiyo ukitaka
huo mfumo wa unoko tuambie tuanze na biashara zako au ofcn kwako tuone kama uko smart.
Na ww ni mfuac wa magamba?
 
kwa hiyo yule mama Mwingereza yuko sawa kwa kweli. Hivi hayo maandamano wanayotaka kuyafanya yanafaida kweli?
 
Bongo usawa huu hata ukienda kuchonga jiwe la kaburi utaombwa hela ya chai.

Watu hawana maadili wala huruma.
 
Back
Top Bottom