Waziri wa Maliasili na Utalii, Prof. Maghembe atangaza Serikali kusitisha usafirishaji wanyama hai

Halisi

JF-Expert Member
Jan 16, 2007
2,802
613
Waziri wa Maliasili na Utalii, Prof. Jumanne Maghembe ametangaza jioni hii kusitisha usafirishaji wanyama hai.

Amesema wanasitisha hata usafirishaji wa chawa hadi hapo utaratibu mpya utakapotangazwa.

More info to come...
 
Wanyama hai including kuku ng'ombe mbuzi sasa itakuwaje?
Wanyamapori hai. Awali walikuwa wanaruhisiwa wanyama wadogo kama vile mijusi, jamii ya nyani kama ngedere na tumbili.

Wale waliokamatwa kulikua na matatizo ya kisheria na kwamba asingeweza kuzungumzia maana kuna kesi
 
Teh teh teh teh....nimecheka sana....aha aha...nashukuru kwa ufafanuzi wako kwa baadhi ya watu...

Hahaaa!! Waziri kasema; "kuanzia saa hizi (saa 1.25) nasitisha usafirishaji wanyama hai. Hakuna kusafirisha hata chawa."... "baada ya Twiga tulizuia kusafirisha wanyama wote wakubwa tukaachia wadogo kama mijusi, na jamii ya nyani...."
 
Hahaaa!! Waziri kasema; "kuanzia saa hizi (saa 1.25) nasitisha usafirishaji wanyama hai. Hakuna kusafirisha hata chawa."... "baada ya Twiga tulizuia kusafirisha wanyama wote wakubwa tukaachia wadogo kama mijusi, na jamii ya nyani...."

Duh, kazi ipo mwaka huu...
 
Hadi Ngedere (Tumbili) jameni? Waharibifu sn, na hawaliwi! Hasara tu.
 
"Amesema wanasitisha hata usafirishaji wa chawa hadi hapo utaratibu mpya utakapotangazwa"

Sijawahi kujua chawa ni mnyama pori
 
Hahaaa!! Waziri kasema; "kuanzia saa hizi (saa 1.25) nasitisha usafirishaji wanyama hai. Hakuna kusafirisha hata chawa."... "baada ya Twiga tulizuia kusafirisha wanyama wote wakubwa tukaachia wadogo kama mijusi, na jamii ya nyani...."
Pesa yetu hajasema iko wapi! Hahahhh nimecheka eti hakuna kusafirisha hata chawa...
 
Back
Top Bottom