Mkuu, jaribu ku-edit post yako kabla ya kuirusha JF tafadhali. Mbeya, Nzega, Mz ........Taarifa nilizozipata punde zinaeleza Naibu Waziri wa Elimu na Utamaduni kapata Ajali Mbeya akiwa njiani kuelekea Mza huko Nzega alipokuwa nasubiriwa kufungua kikao.
More Details soon, kwa walioko Nzega mnaweza kuongeza DETAILS HAPA
"Aisifuye mvua imemnyea"Madoctor wote wamegoma !!!
Madoctor wote wamegoma !!!
Madoctor wote wamegoma !!!