NJUGHU
JF-Expert Member
- Aug 16, 2013
- 383
- 269
Msimu wa usajili wa wanafunzi wa darasa la saba kuingia shule binafsi au za mashirika ya dini umeungia Na ndio msimu mzuri wa biashara ila sasa umefikia kiwango cha kuwaumiza wazazi.
Wazazi sasa wanauziwa fomu za kujiandikisha kufanya mitihani Na kuchangia si pungufu ya elfu kumi. Watoto wanaotakiwa unakuta ni mia tu ila wanaonunua Na kufanya mitihani zaidi ya elfu moja.
Kinachooumiza zaidi ni wale wanaichaguliwa Na kutozwa karibu nusu ya ada kwa kisingizio cha pre form one Na kusoma masomo ya form one!
Je utaratibu huu unaendana Na miongozo ya elimu?
Mbaya zaidi watoto kuanza masomo mwezi October bila mapumziko Na wamemaliza shule September tu Na kusoma miezi mitatu.
Wazazi sasa wanauziwa fomu za kujiandikisha kufanya mitihani Na kuchangia si pungufu ya elfu kumi. Watoto wanaotakiwa unakuta ni mia tu ila wanaonunua Na kufanya mitihani zaidi ya elfu moja.
Kinachooumiza zaidi ni wale wanaichaguliwa Na kutozwa karibu nusu ya ada kwa kisingizio cha pre form one Na kusoma masomo ya form one!
Je utaratibu huu unaendana Na miongozo ya elimu?
Mbaya zaidi watoto kuanza masomo mwezi October bila mapumziko Na wamemaliza shule September tu Na kusoma miezi mitatu.