kimbendengu JF-Expert Member Jun 7, 2013 6,129 10,498 Feb 7, 2021 #1 Kumekuwa na wimbi la kuchapisha mitihani maeneo ya mijini kwa siku za hivi karibuni nimeona video imesambaa kwenye mitandao kuwa sasa ni marufuku kununua mitihani hiyo wasiwasi wangu biashara hii wanafanya viongozi wenzake ngoja tuone hii vita. Your browser is not able to display this video.
Kumekuwa na wimbi la kuchapisha mitihani maeneo ya mijini kwa siku za hivi karibuni nimeona video imesambaa kwenye mitandao kuwa sasa ni marufuku kununua mitihani hiyo wasiwasi wangu biashara hii wanafanya viongozi wenzake ngoja tuone hii vita. Your browser is not able to display this video.
Msitari wa pambizo JF-Expert Member Sep 25, 2014 2,881 4,893 Feb 7, 2021 #2 Hebu rekebisha title ya thread yako halaf lete hoja yako tukusikilize nini unamaanisha
prince john john JF-Expert Member Aug 31, 2016 2,081 3,109 Feb 7, 2021 #3 Watoto wasubirie midterm na annual mashuleni..
Joseverest JF-Expert Member Sep 25, 2013 51,993 69,398 Feb 7, 2021 #4 Kupitia hilo tamko najiuliza ubora wa elimu yetu utaongezeka
DreezyD98 JF-Expert Member Nov 6, 2020 1,504 2,664 Feb 8, 2021 #5 Mi sijaelewa mantiki ya hili katazo. Aliyeelewa anitoe kwenye giza