Waziri wa elimu apiga marufuku mitihani ya mitaani

kimbendengu

JF-Expert Member
Jun 7, 2013
6,078
10,384
Kumekuwa na wimbi la kuchapisha mitihani maeneo ya mijini kwa siku za hivi karibuni nimeona video imesambaa kwenye mitandao kuwa sasa ni marufuku kununua mitihani hiyo wasiwasi wangu biashara hii wanafanya viongozi wenzake ngoja tuone hii vita.

 
Back
Top Bottom