#COVID19 Waziri Ummy Mwalimu: Watu 3,147 walazwa kwa UVIKO-19 huku 76 wakifariki

Anakula kwa urefu wa kamba. Hii kamba imekuwa fupi anataka kuiongea urefu apate ulaji.
Ukiambiwa changanya na za kwako.
Mjinga ndiyo waliwao.
 
Mama anapiga mwingi sana 😃 naona anazisaka pesa za uviko kwa udi na uvumba 😃😃😃hataki mzaha utasikia watu waliolazwa ni 100,000 siku sio nyingi.
 
UMMY KWISHA HABARI YAKO!!

NDIO WAMEENDA KUKUULIA HAPO KISIASA BAADA YA KUONA NYOTA YAKO INANG'AA!!
 
Watanzania walipuuza Ukimwi, na sasa wanapuuza Covid. Anayejali maisha ya Mtanzania siyo Mtanzania mwenyewe, ni mzungu. Bila ya mzungu kuleta ARVs, Ukimwi ungemaliza Watanzania karibu wote. Na kwenye hili suala la Covid, bila ya mzungu kuleta chanjo na dawa zao Covid tutaishi nayo muda mrefu.
 
Wao wenyewe wanategemea kuishi nayo muda mrefu ,hawana uhakika wa kuimaliza.
 
Kuendelea kutembelea majaribio na kupack nguvu yetu ni fedheha. Wachina pamoja n akuchanjwa huko, hali iko hivi. Hata mkilazimisha watu wote wachanjwe, mtakwenda kufuata mapito ya hawa wasanii. Tumieni akili zenu, imarisheni idara ya Afya kwa ubunifu na siyo siasa na sanaa zenye hila.

China Pamoja na kuchanjwa, Corona yarudi kwa nguzu zaidi Wuhan. Chanjo haisaidii. Acheni kubumba takwimu ili muwatishe watu. No one knows what this chanjo is.

Baada ya kushindwa kwa chanjo, China sasa inawakamata watu kwa nguvu na kuwapeleka kwenye makambi yaliyojengwa kwa ajili ya wagonjwa wa covid ambako wanawekwa kwenye vijumba kama masanduku ya vyuma, usiku wa manane, ili kuimainisha dunia kwamba CHINA haina corona. Chanjo zimeshindwa. Je na hili nalo mtaiga? Mbona hamuliulizii wala kulizungumzia?

 
Na hawafikii hata 5% ya lengo lao... Wanabwabwaja tu Ili waonekane bora kwa Mama! cha ajabu wanampigia Mbuzi gitaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…