PostGE2025 Waziri Ulega awaweka ndani wakandarasi Kampuni ya Kichina kwa kutotimiza masharti ya mkataba

PostGE2025 Waziri Ulega awaweka ndani wakandarasi Kampuni ya Kichina kwa kutotimiza masharti ya mkataba

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

tonicimmobility

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2025
Posts
493
Reaction score
1,038
Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega ameagiza kuwekwa ndani kwa wakandarasi wa kampuni kutoka China ambao wameshindwa kutimiza masharti ya mkataba wa ujenzi wa barabara ingawa serikali imetimiwa wajibu wake kwa kulipa sehemu ya malipo.



Ulega amesema juhudi za kutaka vigogo wa kampuni hiyo kuja nchini na kutoa maelezo kuhusu kusuasua kwa ujenzi wa barabara waliyopewa kujenga mkoani Dodoma, zimegonga mwamba hadi sasa na sasa kuna uwezekano wa kuwafikisha mahakamani kwa kukiuka masharti ya mkataba.

Kampuni hiyo China First Highway Engineering Co. Ltd.imepewa kazi ya ujenzi wa Sehemu ya pili ya barabara ya Ntyuka- Mvumi Hospitali- Kikombo (Km 53) na ingawa tayari imepewa asilimia kumi ya malipo (kiasi cha shilingi bilioni 9.68) ujenzi umefikia asilimia mbili tu
 
Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega ameagiza kuwekwa ndani kwa wakandarasi wa kampuni kutoka China ambao wameshindwa kutimiza masharti ya mkataba wa ujenzi wa barabara ingawa serikali imetimiwa wajibu wake kwa kulipa sehemu ya malipo.

View attachment 3505411

Ulega amesema juhudi za kutaka vigogo wa kampuni hiyo kuja nchini na kutoa maelezo kuhusu kusuasua kwa ujenzi wa barabara waliyopewa kujenga mkoani Dodoma, zimegonga mwamba hadi sasa na sasa kuna uwezekano wa kuwafikisha mahakamani kwa kukiuka masharti ya mkataba.

Kampuni hiyo China First Highway Engineering Co. Ltd.imepewa kazi ya ujenzi wa Sehemu ya pili ya barabara ya Ntyuka- Mvumi Hospitali- Kikombo (Km 53) na ingawa tayari imepewa asilimia kumi ya malipo (kiasi cha shilingi bilioni 9.68) ujenzi umefikia asilimia mbili tu
Huyu mwana uko wa Kikwete aache kutufanyia maigizo ya kipumbavu,karudishwa hapo kwenye hiyo wizara ili wazidi kutuibia mpaka nchi ifirisike kabisa
 
Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega ameagiza kuwekwa ndani kwa wakandarasi wa kampuni kutoka China ambao wameshindwa kutimiza masharti ya mkataba wa ujenzi wa barabara ingawa serikali imetimiwa wajibu wake kwa kulipa sehemu ya malipo.

View attachment 3505411

Ulega amesema juhudi za kutaka vigogo wa kampuni hiyo kuja nchini na kutoa maelezo kuhusu kusuasua kwa ujenzi wa barabara waliyopewa kujenga mkoani Dodoma, zimegonga mwamba hadi sasa na sasa kuna uwezekano wa kuwafikisha mahakamani kwa kukiuka masharti ya mkataba.

Kampuni hiyo China First Highway Engineering Co. Ltd.imepewa kazi ya ujenzi wa Sehemu ya pili ya barabara ya Ntyuka- Mvumi Hospitali- Kikombo (Km 53) na ingawa tayari imepewa asilimia kumi ya malipo (kiasi cha shilingi bilioni 9.68) ujenzi umefikia asilimia mbili tu
Shida waliyotengenezewa Watanzani ni kuwa vidrama vilisha wachosha,hivyo hakuna vidrama vipya vitakavyo wasumbua,sasa Watanzandia wanataka Madrama ya viwango vya kidunia,ila kwenye hivi vidrama vilivyozoeleka,vya vitumetume vya kichawa, mjipangeni upya wanataka kuona lile limtatandao linalo ifilisi nchi linaparaganyika na kila kiumbe ndani ya mtandao anaishia jela huru na sii jela mchongo kupitia mahakama mchongo ccm!
 
Kumuweka ndani mkandarasi kunasaidia nini kwani mkataba unasemaje pindi akichelewesha kazi kwanini asikatwe LD ( liquidated damage) kwa siku alizocholewesha hizi drama za kisiasa hazitufikishi popote​
 
Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega ameagiza kuwekwa ndani kwa wakandarasi wa kampuni kutoka China ambao wameshindwa kutimiza masharti ya mkataba wa ujenzi wa barabara ingawa serikali imetimiwa wajibu wake kwa kulipa sehemu ya malipo.

View attachment 3505411

Ulega amesema juhudi za kutaka vigogo wa kampuni hiyo kuja nchini na kutoa maelezo kuhusu kusuasua kwa ujenzi wa barabara waliyopewa kujenga mkoani Dodoma, zimegonga mwamba hadi sasa na sasa kuna uwezekano wa kuwafikisha mahakamani kwa kukiuka masharti ya mkataba.

Kampuni hiyo China First Highway Engineering Co. Ltd.imepewa kazi ya ujenzi wa Sehemu ya pili ya barabara ya Ntyuka- Mvumi Hospitali- Kikombo (Km 53) na ingawa tayari imepewa asilimia kumi ya malipo (kiasi cha shilingi bilioni 9.68) ujenzi umefikia asilimia mbili tu
Hii miuaji ni mijinga sana inadhani kufanya hivyo ndo wananchi tutawakubali.
Tumeshawakataa na maigizo mnayofanya ni ya kitoto sana. Wala hayata madilisha msimamo wa watanzania kudai haki yao na nchi yao
 
Kumuweka ndani mkandarasi kunasaidia nini kwani mkataba unasemaje pindi akichelewesha kazi kwanini asikatwe LD ( liquidated damage) kwa siku alizocholewesha hizi drama za kisiasa hazitufikishi popote​
Kampuni imefilosika,mahakama huko china imeamuru tz kulipwa kwa kutotekeleza mkataba,wavimba macho wanaingilia huku wanatokea kule
 
Hizi drama za kisenge si tushasema hatuzitaki?Na yeye aende jela kwa kuacha mradi wa mabilioni bila folapu...Tumechoka na huu upuuzi ni Jana tu Mwigulu anaigiza kummind mkandarasi kisa for 8 yrs hajafanya kitu na jiuliza hiyo miaka yote nane na viongozi wakiwemo yy walikuwa wapi?Huu utoto ufike sehemu watanzania tuuchoke heeee jaman it's getting old as ***
 
Back
Top Bottom