samakiurembo
JF-Expert Member
- Dec 8, 2021
- 445
- 684
Kwako Waziri nimeona niandike hapa moja kwa moja nadhani itakufikia maana nimeumia sana
Suala lenyewe ni kuhusu mwanao kugonga na kuharibu gari la mwanaume mmoja jijin Dar es Salaam, nimekuita muungwana kutokana na kauli yako ya kwanza uliyotoa uliongea kauli ya haki na kweli inayoungwa mkono hadi na Mungu kuwa kweli ni mwanao na ni mtu mzima afikishwe mahakaman safi sana.
Point yangu ya msingi yule jamaa aligongwa gari lake akamkimbiza mwanao aliyekimbia alipokamatwa akajibu dharau jamaa alisema hana pesa ya kutengeneza gari waongee na fundi wake watengeneze hukumu ilipotoka jamaa akawa excluded katika mjumuisho wa gari lake kutengeneza.
Kikubwa faini ya laki mbili ambayo sijui inaenda wapi mahakamani au trafiki
Do it a favour kwa kuonesha kujali na kulinda heshima yako kama Waziri kwa kumtengenezea gari lake mwanaume yule
Suala lenyewe ni kuhusu mwanao kugonga na kuharibu gari la mwanaume mmoja jijin Dar es Salaam, nimekuita muungwana kutokana na kauli yako ya kwanza uliyotoa uliongea kauli ya haki na kweli inayoungwa mkono hadi na Mungu kuwa kweli ni mwanao na ni mtu mzima afikishwe mahakaman safi sana.
Point yangu ya msingi yule jamaa aligongwa gari lake akamkimbiza mwanao aliyekimbia alipokamatwa akajibu dharau jamaa alisema hana pesa ya kutengeneza gari waongee na fundi wake watengeneze hukumu ilipotoka jamaa akawa excluded katika mjumuisho wa gari lake kutengeneza.
Kikubwa faini ya laki mbili ambayo sijui inaenda wapi mahakamani au trafiki
Do it a favour kwa kuonesha kujali na kulinda heshima yako kama Waziri kwa kumtengenezea gari lake mwanaume yule