Waziri Norway: Tunakula nguruwe na kunywa Pombe

Status
Not open for further replies.
Hata wewe ni mpuuzi tu kwa sababu hoja zako hazina mashiko.

KUNA MAWILI MATATU KATI YAKO; MOJA INAWEZEKANA HUNA FORMAL EDUCATION AMBAYO IMEWEZA KUKUSAIDIA KUWA OBJECTIVE KWENYE KUCHANGIA KWAKO.

PILI INAWEZEKANA HUJATEMBEA DUNIANI HIVYO UNACHANGIA TU KAMA MPUMBAVU.

TATU NI MTU WA KUTAFUTA TENSION SABABU EMONA HUNA CHA KUPINGA MTAZAMO WANGU.

NNE NAHITIMISHA KUWA WEWE SI WA KUKAA LEVEL MOJA KWA KUONGEA KUJADILIANA NA MIMI SABABU BADO UNA MENGI YA KUJIFUNZA.
 
Wakati mwingine uelewa wao unatokana na uzoefu wanaokutana nao so inawezekana mtu akasapoti kutegemea na maswahiba wanayokutana nayo,na haijazungumziwa kama ni kikatiba kula nguruwe,ila kwa imani za wenzetu ukila mbele yake sijui kama ushawahi experience hii,kwa norway inaweza ikawa public places hata restaurants zinauzwa sana,Scandinavian countries ni watumiaji wakubwa sana wa vyakula hivi,sana.

NGOJA NIWEKE SAWA KIDOGO, MIMI NI MKISTRO NA NIMEISHI NA KUTEMBEA NCHI ZOTE ZA EUROPE ILA ANACHOONGEA HUYU MAMA NI UPUUZI TU.

NORWAY KUNA WAISLAMU WAMEKAA KWENYE HIYO INCHI ZAIDIA YA MIAKA 50 ILIYOPITA, SASA KUWAAMBIA HAWA WAKIMBIZI WENYE IMANI ZA KIISLAMU KUWA HUKU TUNAKULA NGURUWE NA KUNYWA POMBE NI KUTOWATENDEA HAKI NA NI VERY OFFENSIVE WATU KAMA WALE AMBAO WANATAABIKA KWA SASA NA SI KWA KUPENDA KWAO.

NORWAY KUNA MAMIA YA MIGAHAWA NA MADUKA YANAYOUZA HALAL FOOD SASA HUYU MAMA KUONGEA HIVI NI KUWAKOSEA HEKIMA NA KUKOSA BUSARA.

HOJA YANGU YA KUHUSU KATIBA NILIKUWA NASISITIZIA KUWA KATIBA YA NORWAY HAISISITIZI WALA HAIKATAZI ILI UISHI KULE NI LAZIMA ULE NGURUWE AU UNYWE POMBE PIA.

KULA NGURUWE NA KUNYWA POMBE NI VITU PERSONAL, KAMA HAMFAHAMU KWENYE NCHI ZA MAGHARIBI SASA HIVI KUNA WALE WATU WENYE MISIMAMO YA KIBAGUZI WAMEPATA FURSA KUINGIZA VYAMA VYAO VYA SIASA NA KUENENZA SERA ZA KIBAGUZI NA KICHOCHEZI.

SASA BASI MSISHABIKIE MAMBO AMBAYO HAMNA UFAHAMU NAYO SABABU HUYU MAMA NI MBAGUZI NA CHAMA CHAKE KINA SERA ZA KIBAGUZI.
 
HAYA NI MASWALI NAJIULIZAGA KILA SIKU:

1:HIVI INAKUWAJE UNAJIITA WEWE NI BINADAMU HALAFU UNAMCHUKIA BINADAMU MWINGINE KUTOKANA NA RANGI YA NGOZI YAKE TU?

2: HIVI INAKUWAJE UNAJIITA WEWE NI MKRISTO HALAFU UNAKUWA NA CHUKI/UBAGUZI NA MTU MWENYE IMANI TOFAUTI NA WEWE?

NASHINDWA KUPATA MAJIBU KABISA,


 
..hapa ndo dini inanichanganya sana,sasa unakuja kwa watu Alaf unataka sheria zako ziApply mpka na huko,this is not Right!!
 
Afadhali aseme ili wajipange wanaoenda huko,,,,,,,,,,,,,,,,,,kuliko wayakute bila kuambiwa
 
Inatakiwa waislamu wote wauawe ndo dunia itakuwa mahali salama Sana pa kuishi, vinginevyo mateso hayataisha, hawa watu nuksi kweli

Duh!! Mkuu una ugonjwa wa Cancer ya CHUKI na uislam. Na itakuua pasipo shaka.
Kansa ya chuki itakuua, halafu waislam na wakristo watajumuika kuja kufukia mzoga wako.
We ugua tu hiyo Cancer mpaka tuje tukufukie, lakini hapatatokea mtu wa kuja kuwauwa waislam wote.
 
HAYA NI MASWALI NAJIULIZAGA KILA SIKU:

1:HIVI INAKUWAJE UNAJIITA WEWE NI BINADAMU HALAFU UNAMCHUKIA BINADAMU MWINGINE KUTOKANA NA RANGI YA NGOZI YAKE TU?

2: HIVI INAKUWAJE UNAJIITA WEWE NI MKRISTO HALAFU UNAKUWA NA CHUKI/UBAGUZI NA MTU MWENYE IMANI TOFAUTI NA WEWE?

NASHINDWA KUPATA MAJIBU KABISA,


Huu ni unafiki sasa

1. Ubaguzi upo kila mahali, hata hao waarabu unaowapigia perepeche ndiyo wabaguzi wakubwa duniani, hata conflicts zao zinachochewa na ubaguzi

2. Kuspecify kuwa wakristo wanachuki na unafiki mwingine, umekiri kuwa wewe ni mkristo je umekizi kigezo cha kuwa na chuki dhidi ya wengine?No eeh?stop hasty generalization fallacy when making up your mind..

Nimesoma pia umetembelea nchi za Europe zote ni uongo mtakatifu huo
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom