BilioneaPATIGOO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 12,321
- 11,316
Wanajitafutia magonjwa ya moyo na shinikizo la damu na preshaKiukweli kutomchukia Diamond kunahitaji roho yenye upako... hapa ndipo ninapowaelewa wale wooooooote wanaomchukia jamaa!!! Thamani ya hiyo office table na hivyo viti pamoja na kabati pekee, ni kodi ya ghetto ya miaka 2 ya majority ya wana-JF wanaomkashifu Diamond kwamba hajasoma na eti Mswahili!!