Kwa ufupi tu, waziri ana madaraka ya juu kuliko Katibu mkuu wa wizara, mambo yanaenda hivi, katibu mkuu ana riporti utendaji kazi kwa waziri na waziri anaripoti kwa Rais, Lakini katika majukumu ya kiutendaji yaliyokwisha amuliwa ama kupendekezwa na waziri katibu mkuu huwa ana madaraka ya kuamua jambo kisha kupeleka ripoti kwa bosi wake ambaye ni waziri