Huwezi kumuingiza mjini mtu kama Dangote, lazima kutakuwa na mikataba na makubaliano yapo makabatiniHuyu Dangote aliingizwa mjini na serikali ya JK. Aliyepata kapata, no more.
Kwa kweli..anaongea sana...Yaani kati ya wateule wa mkulu wanaozingua , hadi huwa najisikia vibaya kuwasikiliza ni huyu bwana
Waziri wa viwanda na biashara baada ya kudanganya jana kuwa hawana tatizo lolote na Dangote kufuatia kusimamishwa kwa uzalishaji wa saruji leo amegeuka na kukiri walikuwa wanaficha.
Amedai kuwa Dangote anataka apewe gesi ya bure lakini hawatatoa kwa kuwa hiyo itakuwa ni upendeleo na makampuni mengine hayatachezewa fair.
Amesa makampuni yote yanapaswa kutumia makaa ya mawe hapa nchini ili kuwe na usawa kwa kila mtu kwa kuwa soko moja
Ikumbukwe:
Jana mwijage aliongea kwa confidence kabisa kuwa hakuna tatizo kati ya serikali na Dangote na akalaani tabia ya watanzania kuzusha mambo ili kuogopesha wengine
kwani hao wengine waliwai kutaka preferential treatment wakanyimwa?Kama ilikuwa hivyo basi ni kosa. Katika industry moja huwezi kuwa na incentive package tofauti tofauti. Tanzania Portland Cement, Mbeya Portland Cement, Nyati na Camel wapo kwenye cement industry inabidi wapate equal treatment kama Dangote. Itakuwa si busara mmoja apate preferential treament ambayo wengine hawapati. As a country we have to design predetermined incentive packages based on economic sectors and not for individual investors.
Mkuu huwezi kuwa na packages tofauti tofauti. Itakuwa shidakwani hao wengine waliwai kutaka preferential treatment wakanyimwa?
Arguments zako ziko poa sana kaka.Haya makaa ya mawe ni ya nani? Hivi soko huria maana yake nini? Haya makaa nadhani ya mtu fulani ambaye anataka kulazimisha Dangote amnunuze. Ni kama gesi ya Mtwara tu.
Mie sikubali kuwa ati ile ni gesi ni yetu wakati baada ya serikali kufikisha bomba Dar tu, bei ya umeme inapanda. Serikali inaambulia kodi lakini isiseme kuwa eti ni yetu. Makaa yale ni ya kampuni ya mtu fulani na serikali inaambulia kodi. Serikali isimfanyie huyu mtu biashara ila iachie sera ya soko huria ifanye kazi.
Kama ni bei ashushe ili anunuzwe kwa kushawishi na si kutumia rungu la serikali. Kama gesi ile ingekuwa yetu umeme ungeshuka.
Dangote aruhusiwe kununua makaa kule atakako mradi tu azalishe sementi kwa bei inayokubalika, alipe kodi stahiki na aendelee kutoa ajira kwa watanzania.
Habari ya kuwa amnunuze mwenzetu makaa yake ya mawe tuachane nayo!
Pia Dangote amekuwa akiuza sementi yake kwa bei ya chini inayomjali mtumiaji maskini. Isije ikawa hii ni mbinu ya washindani wake kumvuruga ili waendelee kuuza sementi kwa bei ya juu kivile!
Kwa hiyo hapo ni mchuano nani ni nani, duh hii nchi yataka moyo kuielewa.!Hi nchi imekosa kiongozi,dangote ni mfanyabiashara mkubwa hawezi kushindwa kununua gesi ya mtwara ila nilichogundua damgote alidanganywa na maccm kuwa atauziwa gesi kwa bei ndio maana akajenga mtwara,sasa alipoingia bwana john pumba magugu akagundu mkwere anahisa nyingi,ndipo dangote akajikuta kwenye uwanja wa mapambano,lakini isiwe shida,dangote kaamua kuagiza makaa ya mawe A.kusini basi wa mwache,kitendo cha kulazimisha dangote anunue makaa ya mawe kutoka mgodi wa makaa ya mawe ambayo Ben mkapo anaumiliki ,niwazi bwana JPM analenga kulitajirishwa Ben mkapo,kiufupi Tanzania si salama kwa uwekezaji,na hakufai kutokana na sasa za maji taka
Atake gesi ya bure kwani yeye kichaa?
waziri sema tulimuahidi kumpa gesi ili kumvutia awekeze ila sasa tumemgeuka.
Mkuu nakubaliana nawe kabisa kwa mantiki ya 'lavel playing field'Mkuu huwezi kuwa na packages tofauti tofauti. Itakuwa shida
Wekeni akiba ya maneno mnapo deal na waziri mficha "ukweli"!Mkuu chukua chupa ya value nakuja kulipa
Huyuu Dangote wanae mshadadia is nothing nakwambia hamnaa chochote pale hamna weledi ni ujanjaa ujanja
Wamejaza wahindi tuuu na hakuna faidi tunayoo ipata watanzania zaidi ya hizo ajira tu
Kwanza Dangote ni mfanyabiasharaa kaja kijanja janjaa sana
Kiukweli haingii akilini apate gesi, ardhi. Lime stone hat gypsam nayo aseme anataka yeye kuimport hakuna nchii mfilisi namna hiyoo
Aksante magufuri wetu for this aisee
Lazima yatumike!!!! kama hayawaki vizuri tutawashia mafuta ya taa na tutatafuta idadi ya watu wa kupuliza mpaka yawakeKunaweza kuwa na ukweli katika hili. Makaa ya mawe ya hapa yanasemekana hayana ubora wa kutosha. Hivyo yanaweza pia kuongeza gharama za uzalishaji. Kwani akiagiza kutoka nje anatumia pesa ya serikali?