kombelo la mfalme daudi
Member
- Apr 1, 2023
- 13
- 9
Alisema malipo ya watu wa ukonga kipunguni. Wanaodai fidia ya malipo ya makazi Yao. Kupisha upanuzi wa uwanja wa ndege watalipwa ndani ya mwezi mmoja lakini mpaka Sasa hakina chochote kilicho fanyika watu wanaishi Kwa taabu Sana. Na kushindwa kufanya maendeleo yoyote.
Mheshimiwa Rais wasaidie wananchi wako. Pia mkuu wa wilaya amezuia wananchi kufanya mkutano wowote. Watu wapo ktk mateso
Mheshimiwa Rais wasaidie wananchi wako. Pia mkuu wa wilaya amezuia wananchi kufanya mkutano wowote. Watu wapo ktk mateso