Waziri Mwandosya: Kikwete Angeniacha Nipumzike


Bongo kila kitu kinawezekana. Kwa vile tangu tuzaliwe hatujawahi sikia kuna mtu kakataa uteuzi na CCM ndiyo zao hizo. Inawezekana kabisa JK akawateua bila kuwataarifu (existing ones) maana akili yao ni maslahi na ulaji zaidi kazi na uwajibikaji.
 
wewe ndio unatakiwa kutumia kichwa kufikiria badala ya mikono yako yeye kwa mfano yeye alikuwa na ngo yake kuhusu renewable energy, je ametumia fursa hiyo hata kuwekeza umeme wa namna hiyo kijijini kwake, kwa wapiga kura wake? au hiyo inahitaji kibali cha sereikali kuu? mufilisi ya ccm? wewe ukiweka renewable energy kwenye nyumba yako utakatazwa? au ukiwaelimisha majirani zako juu ya hilo mkafanya mradi huo?
 

HOJA SAHIHI

NZITO

INAELEWEKA

INAKUBALIKA

YOU ARE A GREAT THINKER

BIG UP


WATU WAMEKALIA KUSIGINA TU, NA KUGEUZA GEUZA

MWANDOSYA HAWEZI KUSEMA MANENO HAYO KWA UTEUZI WA MKUU WA NCHI


ASANTENi
 
Kwa wasomaji wa gazeti la mwananchi la leo, picha iliyopo front page kwakweli prof anaumwa! Bila kusoma maelezo ya picha yenyewe huwezi kuamini kama kweli ni prof. Jk please mpumzishe achana na bifu zenu za zamani.
 
Mkuu unazijua siasa za Mbeya? Ili CCM iendelee kuishi lazima huyo mtu aitwe waziri.

 
Kwani ni lazima kukubali posti?

Si ndo hapo.

Na hizi appointment rais anataja tu watu kwenye redio bila kukubaliana nao? Au anawashikia fimbo kwamba msipokubali nitawachapa?
 
Pole sana Prof kwa kuchelewa kugundua unafiki wa bosi wako na mtandao wake, now its too late, subili polonium ifanye kazi yake, mwisho wa siku.. "nenda mwalimu"... In short imekula kwako for miscalculation...
 
si aseme tu kuwa haridhishi na ka-wizara kasikokuwepo? Waziri hewa.....
 
Uvivu wa kufikiri, leo ndiyo unatambua kuwa inafaa ufundishe wahandisi UDSM? Hii ni baada ya kuugua au!? Acha unafiki porof!
 

Upumbavu
 

Hivi angetaa uteuzi angelazimishwa? Naomba kuelimishwa.
 
Ukisikia unafki ndio huu anatuletea Mwandosya, ni kwa nini asimuandikie barua Rais au kwenda Ikulu kumueleza Rais kwamba anashukuru kwa uteuzi wake lakini afya yake haimruhusu kufanya kazi hiyo!!??
Nadhani hakuapa hivyo ilikuwa signal kwa Mkuu wa kaya kuwa hataki post hiyo
 

Kwani huou waziri aliopewa si mapunziko tu ya kusoma magazeti na ...... kupata matibabu class A.mwndosya Hajachaguliwa uwaziri afanye kazi

Alafu anasema ni heri afudishe UDSM!!!!!!!!!!. Hivi kazi gani inahitji energy akili zaidi kati ya siasa na kufundisha ?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…