Ha ha haa kataa basi tuone makucha yako. Hiyo documents huwezi letewa wewe na wakiamua hunacha kufanya kama ilivyokuwa kwa uongozi uliopita na chakufanya huna CCM hoyee.Tuweke vigezo, masharti yote wazi, upande wetu na wa wawekeaji. Simple, Win win situation wote tutakubali, upuuzi wa kuisadia, kuinufaisha familia moja tutakataa.