Bandari ya Bagamoyo itang'oa wengi, Ndugai na Mwambe ni mwanzo tu

Elitwege

JF-Expert Member
Jun 4, 2017
5,154
10,809
Waziri Mwambe aliyetumbuliwa leo alifikia hatua ya kusema ujenzi wa bandari ya bagamoyo uliwekewa jiwe la msingi na rais wa nne Jakaya Kikwete bila mkataba wowote

Na akaenda mbali zaidi kwa kusema hayati rais Magufuli aliwandanganya watanzania kuhusu bandari ya bagamoyo na lazima ijengwe.

Spika aliyejihuzuru Job Ndugai alisafirishwa mpaka China kwa gharama za wachina na aliporudi akaanza kuponda ujenzi wa SGR na akaanza kupigia debe ujenzi wa bandari ya bagamoyo kwa kasi kubwa.

Mara baada ya kifo cha Magufuli ,Ndugai ndiyo alikuwa mtu wa kwanza kutangaza kuwa serikali lazima iendelee na ujenzi wa bandari na kwamba Magufuli alipotosha.

Laana ya kumsaliti Magufuli itang'oa wengi na bado.

20220108_182845.jpg
 
Kwa hiyo wanaadhibiwa na MUNGU kupitia samia au?

Laana walipewa na nani?

Siasa za hii nchi ni Uchawa tu.
 
Bado hawajamjua vizuri JPM.

Kila mwenye kumdhihaki atapata kikombe chake na kila mwenye kumbeza kwa namna yoyote ile, naye hatabaki salama.
 
Waziri Mwambe aliyetumbuliwa leo alifikia hatua ya kusema ujenzi wa bandari ya bagamoyo uliwekewa jiwe la msingi na rais wa nne Jakaya Kikwete bila mktaba wowote na akaenda mbali zaidi kwa kusema hayati rais Magufuli aliwandanganya watanzania kuhusu bandari ya bagamoyo na lazima ijengwe.

Spika aliyejihuzuru Job Ndugai alisafirishwa mpaka China kwa gharama za wachina na aliporudi akaanza kuponda ujenzi wa SGR na akaanza kupigia debe ujenzi wa bandari ya bagamoyo kwa kasi kubwa.
Mara baada ya kifo cha Magufuli ,Ndugai ndiyo alikuwa mtu wa kwanza kutangaza kuwa serikali lazima iendelee na ujenzi wa bandari na kwamba Magufuli alipotosha.
Laana ya kumsaliti Magufuli itang'oa wengi na bado.

View attachment 2073735


Elitwege aka team kiroboto aka team mwendazake, pole sana mkuu, naona unashindwa kwenda na kasi ya Mama.
 
Waziri Mwambe aliyetumbuliwa leo alifikia hatua ya kusema ujenzi wa bandari ya bagamoyo uliwekewa jiwe la msingi na rais wa nne Jakaya Kikwete bila mktaba wowote na akaenda mbali zaidi kwa kusema hayati rais Magufuli aliwandanganya watanzania kuhusu bandari ya bagamoyo na lazima ijengwe.

Spika aliyejihuzuru Job Ndugai alisafirishwa mpaka China kwa gharama za wachina na aliporudi akaanza kuponda ujenzi wa SGR na akaanza kupigia debe ujenzi wa bandari ya bagamoyo kwa kasi kubwa.
Mara baada ya kifo cha Magufuli ,Ndugai ndiyo alikuwa mtu wa kwanza kutangaza kuwa serikali lazima iendelee na ujenzi wa bandari na kwamba Magufuli alipotosha.
Laana ya kumsaliti Magufuli itang'oa wengi na bado.

View attachment 2073735

speculations
 
Back
Top Bottom