Waziri Mkuu: Wabunge ndio wana haki na kinga ya kujadili utendaji wa serikali bungeni, sio wananchi

PM uwezo wake ni wa kawaida sana! Ni mtu aliye sitahili kuwa Mkuu wa Wilaya
Sidhani kama haya yanatoka katika fikira na uwelewa wake, bali huu ndio welewa na mtazamo wa d.iktet.a uc.hw.ara. Ameagizwa akawapashe wapinzani na wananchi wanaopenda kuona haturudi nyuma kidemokrasia!
 
Kujitofautisha na huyo unayemuita muongo basi wewe ungetuandikia huo UKWELI aliousema PM kwenye hiyo clip. Kumuita mtu muongo bila ya kueleza ukweli, wewe ndiyo unaonekana zuzu. Mind you wengine tuna simu za mchina hatuwezi ku download hiyo clip. Hivyo tunategemea maandishi.

Now the ball is in your court. Get real dude!
Kama una simu ya mchina usikurupuke kujadili ndiyo lilikua lengo langu. Hata mimi ilinibidi nibadilishe nilichoambiwa kabla kukipost maana nilifikiri mara mbili na kujiuliza kama kweli pm kayasema hayo. Mwanzo nikaamini nilifikiri kazipiga Kitwanga lakini nilipoisikiliza hiyo video nikaona jamaa mtoa mada anatumia udhaifu wa watu kama ninyi wenye vimeo vya simu kuandika uongo huku akijua mtamuamini sababu kaweka ushahidi. Basilica simu mkuu jamaa kadanganya
 
Kumbe ndiyo maana ya kutuzimia matangazo ya live tusije tukaona na kuyajadili? Asante sana mheshimiwa nilikuwa sijaelewa maana halisi
 
Kama una simu ya mchina usikurupuke kujadili ndiyo lilikua lengo langu. Hata mimi ilinibidi nibadilishe nilichoambiwa kabla kukipost maana nilifikiri mara mbili na kujiuliza kama kweli pm kayasema hayo. Mwanzo nikaamini nilifikiri kazipiga Kitwanga lakini nilipoisikiliza hiyo video nikaona jamaa mtoa mada anatumia udhaifu wa watu kama ninyi wenye vimeo vya simu kuandika uongo huku akijua mtamuamini sababu kaweka ushahidi. Basilica simu mkuu jamaa kadanganya
Unamlisha maneno PM na sijui kwanini unaamua kumdhalilisha kwa kumlisha maneno yasiyo yake! Alichokieleza mleta mada ndicho anachomaanisha PM. Na kama ulimsikiliza wakati akiongea na watz wanaoishi nchini Uingereza kuhusu sababu za serikali kuzuia matangazo ya bunge live huwezi kushangaa kuhusu kauli yake hii.
 
Hapa anazungumza wabunge wanakinga wakiwa bungeni.wananchi hanakinga hiyo..serikali inautaratibu .shauri kupitia media.kupitia ngazi ya serikali Mkuu wa wilaya.madiwani.hapo.hoja zitasikiwa.au andika baruwa moja kwa moja kwa Waziri. Mkuu.au Raisi..ningumu.kilamtu anachokisema MTU.kifanyike.ndio maana kunawwakilishi wa wananchi..tupeleke hoja kwa wabunge wetu.tuandike Kabisa waraka.tumpe mbunge apeleke hoja yetu.ikatungwe mbungeni.ndio.chombo.cha kutunga sheria.kusema na kulalamika.haisaidii.
 
Waziri mkuu Kassim Majaliwa amesema wapinzani wanajaribu kujenga taswira kuwa kuna kuminywa kwa demokrasia nchini jambao ambalo sio la kweli, amesema mbunge hawezi kutoa hoja bungeni na kuzipeleka mtaani zijadiliwe na wananchi
amesema katiba imetoa haki na kinga kwa wabunge kuhoji na kujadili utendaji wa serikali lakini kinga hiyo haijatolewa kwa mwananchi yoyote nchini



HAKUNA SEHEMU YOYOTE KATIKA KATIBA YA TANZANIA INAYO MKATAZA MWANANHI WA KAWAIDA KUJADILI UTENDAJI KAZI WA SERIKALI, Kama ipo IONYESHE.
 
Rais Nyerere aliposema " Zanzibar ikitenga,kwa ulevi tu Wa viongozi" alikuwa akiongea kama Rais au mwananchi?
 
Anachosema ni kua mtoa mada hajateuliwa pm. Kuna baadhi ya lugha mbunge anaweza kuitumia kwa kinga ya Bunge lakini wewe na mimi hatuwezi. Nikupatie mfano Giggs aliweka court injunction jina lake lisitajwe ktk magazeti lakini kuna mbunge alilisema bungeni na hakuchukuliwa hatua huu mfano tu wa kukuelewesha nini Majaliwa alikimaanisha

Wacha upotoshaji, anachotaka kuonyesha hapo ni Vitisho kuwa waannchi na wabunge hawaruhusiwi kuhoji chochote kuhusu serekali.\

by the way hiyo isseu ya Giggs ina maslahi gani kwa wanachi? tofautishi kuhoji mambo ya mtu na serekali.

ELIMU!
ELIMU!
ELIMU!
 
BWANA MAJALIWA NI MWANASHERIA? WAPI KATIKA KATIBA/SHERIA IMEKATAZWA WANANCHI KUJADILI YANAYOENDELEA BUNGENI? IF IT IS NOT PROHIBITED IT IS ALLOWED
Wacha kukurupuka wewe,.. bungeni ndio mbunge anaweza kusema chochote sheria inamlinda lakini huku uraiani akiropoka ovyo kama alivyofanya lissu ananyakwa tu.
 
Ndio maana ilianzishwa cyber law kwa sababu wengi wetu tulikuwa tunajipa ubunge wa kwenye mitandao na kuanza kuikosoa serikali wakati sio haki yetu. Tangu ianze kufanya kazi hii sheria nimekuwa nikiikosoa serikali kimoyo moyo .
Jela ,jela ni mateso in Ndanda kosovo's voice- Wajela jela original
Lione na hili, kwani bunge maana yake nini?
 
Kama kweli kayasema haya basi Tanzania tuna serikali ya HOVYO HOVYO pengine kuliko serikali yyt ile duniani!

Moja kazi ya good citizen ni kuikosoa,kuionya,kuisema na kuipongeza serikali yake!
 
Back
Top Bottom