Msione ajabu huyu M/kiti wa hawa magamba akaruhusu mirungi kutinga hp nchi! Na kwa kweli Mi nafsi yangu nawaambia ya kwa mirungi ni madawa ya kulevya kwani nimeshaitumia na nina sababu kuu kadha ya kunifanya niseme ni madawa ya kulevya na ni kama hii: (1) Ukiwa unakula mirungi na ukanywa na pombe kama bia,konyagi na hata pombe kali kali zile ya wenzetu wa pesa ndefu hakika hautalewa kamwe na mpaka ukalewe ni baada ya kutema ile taksima yake na kwa mfano unakunywa bia hakika hata kreti 2 unaweza ukakata yote na usipepesuke hata chembe. (2) Kwa upande wa mapenzi! Hakika kama andas yake haijaku2ma kuwa na mwanamke hakika nakwambieni hata ukiletewa mwanamke wa namna gani hakika hautamtaka na ikikutuma kuwa na mwanamke hakika hauwezi lala bila ya kuwa na mwanamke hata kama unaishi Arusha mwanamke akawa anakaa Moshi nawaambia kama uko njema kifedha unamfuata huko huko kwa gharama yeyote. Kwa hiyo Mi nafsi yangu sioni sababu ya mirungi iingizwe kwe2 kihalali hata punje. (3) Mlaji akishakuwa anachanja hataki tena kazi starehe yake kubwa ni akae mpk amalize na wengi walaji wanaume hawana tabia ya uasherati. Ni hayo tu niliyokutana nayo wakati ule nachanja. Asanteni!!
1. Uache kukurupuka na kutangaza kuwa Mirungi ni madawa ya kulevya.
Usiandike kitu ambacho huna uhakika wala ushahidi nacho.
2. Hoja yako ya kusema eti ukiwa unakula Mrungi then unakunywa bia au Lique unakuwa hulewi mi naona kama ushuzi tu.
So unataka kutuambia Mirungi isiliwe hapa nchini eti kisa ukinywa na pombe hulewi?
Hii sheria peleka nyumbani kwako.
3. Unapokuja na hoja kuwa Mirungi ikikutuma kuwa na mwanamke basi utamfuata umbali wowote na ikikutuma kutokuwa nae basi hutamtamani mwanamke yeyote mi napingana nayo.
Kumfuata mwanamke umbali wowote sio tu ukila Mirungi.
Hii inategemea mnapendana kiasi gani na mko na ukaribu gani.
So hata mlevi anaweza kufunga safari akamfuata mwanamke wake mile kadhaa.
So kwa hapo pia nakuona wewe saa mbovu tu.
4. Unapoandika na kusema eti mlaji wa Mrungi akishaanza kutafuna tu basi anakuwa hana mpango wa kufanya kazi kwa siku hiyo nao ni uharo tu na wala sio hoja ya kupelekea mtu kukatazwa kula mrungi. Swali nalokuuliza je wakati wewe unakula Mirungi je uliwahi kula mirungi sambili asubuhi? Au umewahi kuona vijana au mijuve ya Kenya ikilaumiwa kwa kula mti wakati wa kazi?
Au wewe uliwahi kuacha kufanya kazi na kula Mrungi tu?
Then kwa kukupongeza tu ni kuwa hapo u pia walaji Mirungi hawana tabia za uasherati...thats good.
Je unataka taifa lenye waasherati?
Na madhara ya uasherati?