Waziri Mkuu wa Kenya (Odinga) kumuomba Kikwete ahalalishe mirungi Tanzania

Kimbunga

Platinum Member
Oct 4, 2007
14,941
9,947
Wakuu tunakumbuka kwamba mirungi (miraa) ilipigwa marufuku hapa nchini kwa kuwa ni madawa ya kulevya. Mirungi hulimwa sana nchini Kenya na huwa inauzwa Somalia na Kenya kwenyewe na pia huwa inaingizwa Tanzania kiharamu kama yaingiavyo madawa mengine ya kulevya. Kwa kenya mirungi ni halali lakini kwa Tanzania ni haramu. Sasa kuna habari kwamba Waziri Mkuu wa Kenya Ndg. Raila Amollo Odinga ana mpango wa kumuomba JK aihalalishe nchini Tanzania ili Wakenya waomngeze soko la mirungi wanayosafirisha kihalali kwenda nchi za nje.

Mimi binafsi sijui kama mirungi ni madawa ya kulevya ama la. Lakini kama ilipigwa marufuku hapa nchini basi inaonekana ina matatizo kama Kuber. Sasa sijui Raila akimuomba JK ahalalishe na kweli ikahalishwa itakuwaje?
 
nilitumia sana hilo jani nikiwa o'level magamba sekondari, ipo mingi sana kule.
 
Huyu jamaa ni bure kabisa, yeye husema chochote anachojua wananchi wangependa kukisikia ata kama anajua kabisa kuwa hakitekelezeki...
 
Nitashangaa sana JK kukubali maana hiyo mirungi ndiyo ilikuwa sababu ya vifo vingi sana TZ kipindi kile mpaka ikathibitika kuwa madereva walikuwa wanaipenda sana maana huila ile wakaendesha gari bila kujihisi kuwa wamechoka matokeo yake wakawa wanasababisha ajali mbaya sana. Kama sikosei ndiyo kisa cha mirungi kupigwa marufuku Tanzania. Na ndiyo maana yale ma FIAT ya zamani yote yakahamishiwa Kenya na Wasomali.
Hiyo biashara Kenya ni hatari si mchezo. Magari yao yanapokuwa yamebeba hiyo miraa kuelekea uwanja wa ndege, hata wakikanyaga mtu au kukwaruza gari ya mtu huwa hayasimami, ni biashara ya kishenzi sana. Maeneo inakolimwa vijana hawaendi shule kabisa. Itakuwa si jambo la busara hata kidogo kwa biashara hiyo kuruhusiwa nchini. Umaskini tulio nao hautaondoka kwa kuruhusu mihadarati hiyo! Isije ikawa wao wanatafuta watu wa kuwalimia miraa ili waondoe hiyo adha nchini mwao.
 
Hii haijatulia, kama ilishakatazwa kama akikubali kwa sasa itakuwa hajatumia akili sawasawa.
 
Source ya habari mbona hukuweka, au ni wewe mwenyewe? Nachelea kuchangia isije ikawa unawapakazia tu hawa wakulu!
 
ndiyo maana WTZ wengi waigomea jumuiya ya Afrika Mashariki
anataka tulewe tusiwe na akili timamu alafu wao wapate nafasi ya kutala nyanja zote za Uchumi Afrika Mashariki eeh

MUNGU tunusuru na hili balaa
 
Msione ajabu huyu M/kiti wa hawa magamba akaruhusu mirungi kutinga hp nchi! Na kwa kweli Mi nafsi yangu nawaambia ya kwa mirungi ni madawa ya kulevya kwani nimeshaitumia na nina sababu kuu kadha ya kunifanya niseme ni madawa ya kulevya na ni kama hii: (1) Ukiwa unakula mirungi na ukanywa na pombe kama bia,konyagi na hata pombe kali kali zile ya wenzetu wa pesa ndefu hakika hautalewa kamwe na mpaka ukalewe ni baada ya kutema ile taksima yake na kwa mfano unakunywa bia hakika hata kreti 2 unaweza ukakata yote na usipepesuke hata chembe. (2) Kwa upande wa mapenzi! Hakika kama andas yake haijaku2ma kuwa na mwanamke hakika nakwambieni hata ukiletewa mwanamke wa namna gani hakika hautamtaka na ikikutuma kuwa na mwanamke hakika hauwezi lala bila ya kuwa na mwanamke hata kama unaishi Arusha mwanamke akawa anakaa Moshi nawaambia kama uko njema kifedha unamfuata huko huko kwa gharama yeyote. Kwa hiyo Mi nafsi yangu sioni sababu ya mirungi iingizwe kwe2 kihalali hata punje. (3) Mlaji akishakuwa anachanja hataki tena kazi starehe yake kubwa ni akae mpk amalize na wengi walaji wanaume hawana tabia ya uasherati. Ni hayo tu niliyokutana nayo wakati ule nachanja. Asanteni!!
 
Msione ajabu huyu M/kiti wa hawa magamba akaruhusu mirungi kutinga hp nchi! Na kwa kweli Mi nafsi yangu nawaambia ya kwa mirungi ni madawa ya kulevya kwani nimeshaitumia na nina sababu kuu kadha ya kunifanya niseme ni madawa ya kulevya na ni kama hii: (1) Ukiwa unakula mirungi na ukanywa na pombe kama bia,konyagi na hata pombe kali kali zile ya wenzetu wa pesa ndefu hakika hautalewa kamwe na mpaka ukalewe ni baada ya kutema ile taksima yake na kwa mfano unakunywa bia hakika hata kreti 2 unaweza ukakata yote na usipepesuke hata chembe. (2) Kwa upande wa mapenzi! Hakika kama andas yake haijaku2ma kuwa na mwanamke hakika nakwambieni hata ukiletewa mwanamke wa namna gani hakika hautamtaka na ikikutuma kuwa na mwanamke hakika hauwezi lala bila ya kuwa na mwanamke hata kama unaishi Arusha mwanamke akawa anakaa Moshi nawaambia kama uko njema kifedha unamfuata huko huko kwa gharama yeyote. Kwa hiyo Mi nafsi yangu sioni sababu ya mirungi iingizwe kwe2 kihalali hata punje. (3) Mlaji akishakuwa anachanja hataki tena kazi starehe yake kubwa ni akae mpk amalize na wengi walaji wanaume hawana tabia ya uasherati. Ni hayo tu niliyokutana nayo wakati ule nachanja. Asanteni!!
Mkuu mbona iko safi tu. Ila tu mlaji aombe isimtume kwa wanawake.
 
Mkuu mbona iko safi tu. Ila tu mlaji aombe isimtume kwa wanawake.

Kimbuga! Kwa kweli kwangu Mi naona kama ingeruhusiwa ktk umri fulani kwani ingekuwa bomba sana,maana kwa kweli kuna vijana hawataweza gharama ya kwani inaweza ikakupeleka kutaka kutamani ki2 ambayo hauna uwezo nayo. Lakini ujuwe ina gharama sana!!
 
Nitashangaa sana JK kukubali maana hiyo mirungi ndiyo ilikuwa sababu ya vifo vingi sana TZ kipindi kile mpaka ikathibitika kuwa madereva walikuwa wanaipenda sana maana huila ile wakaendesha gari bila kujihisi kuwa wamechoka matokeo yake wakawa wanasababisha ajali mbaya sana. Kama sikosei ndiyo kisa cha mirungi kupigwa marufuku Tanzania. Na ndiyo maana yale ma FIAT ya zamani yote yakahamishiwa Kenya na Wasomali.
Hiyo biashara Kenya ni hatari si mchezo. Magari yao yanapokuwa yamebeba hiyo miraa kuelekea uwanja wa ndege, hata wakikanyaga mtu au kukwaruza gari ya mtu huwa hayasimami, ni biashara ya kishenzi sana. Maeneo inakolimwa vijana hawaendi shule kabisa. Itakuwa si jambo la busara hata kidogo kwa biashara hiyo kuruhusiwa nchini. Umaskini tulio nao hautaondoka kwa kuruhusu mihadarati hiyo! Isije ikawa wao wanatafuta watu wa kuwalimia miraa ili waondoe hiyo adha nchini mwao.

Mbona Kenya hamna ajali kama hapa Tanzania?
Usikurupuke, ugomvi wa Mirungi ilikuwa na kati ya Mrema na wapinzani wake.
Hayo mambo ya ajali yana wizara yake na si ya mambo ya ndani ambayo Lyatonga alikuwa anaiongoza.
 
ndiyo maana WTZ wengi waigomea jumuiya ya Afrika Mashariki
anataka tulewe tusiwe na akili timamu alafu wao wapate nafasi ya kutala nyanja zote za Uchumi Afrika Mashariki eeh

MUNGU tunusuru na hili balaa

Alikwambia nani Mirungi inalewesha?
Usikurupuke.
 
kwani kile kifungu kama cha matembele kinauzwa shngapi?

Inategemea.
Kifungu kimoja cha mrungi toka Tanzania ni shilingi 1500 mpaka 2500.

Na mrungi kutoka Kenya ni shili elfu 5.
Hii inatokana kuwa mrungi toka Kenya ni mkubwa na pia ni mwingi.

Any question abt Mirungi?
 
Msione ajabu huyu M/kiti wa hawa magamba akaruhusu mirungi kutinga hp nchi! Na kwa kweli Mi nafsi yangu nawaambia ya kwa mirungi ni madawa ya kulevya kwani nimeshaitumia na nina sababu kuu kadha ya kunifanya niseme ni madawa ya kulevya na ni kama hii: (1) Ukiwa unakula mirungi na ukanywa na pombe kama bia,konyagi na hata pombe kali kali zile ya wenzetu wa pesa ndefu hakika hautalewa kamwe na mpaka ukalewe ni baada ya kutema ile taksima yake na kwa mfano unakunywa bia hakika hata kreti 2 unaweza ukakata yote na usipepesuke hata chembe. (2) Kwa upande wa mapenzi! Hakika kama andas yake haijaku2ma kuwa na mwanamke hakika nakwambieni hata ukiletewa mwanamke wa namna gani hakika hautamtaka na ikikutuma kuwa na mwanamke hakika hauwezi lala bila ya kuwa na mwanamke hata kama unaishi Arusha mwanamke akawa anakaa Moshi nawaambia kama uko njema kifedha unamfuata huko huko kwa gharama yeyote. Kwa hiyo Mi nafsi yangu sioni sababu ya mirungi iingizwe kwe2 kihalali hata punje. (3) Mlaji akishakuwa anachanja hataki tena kazi starehe yake kubwa ni akae mpk amalize na wengi walaji wanaume hawana tabia ya uasherati. Ni hayo tu niliyokutana nayo wakati ule nachanja. Asanteni!!
1. Uache kukurupuka na kutangaza kuwa Mirungi ni madawa ya kulevya.
Usiandike kitu ambacho huna uhakika wala ushahidi nacho.

2. Hoja yako ya kusema eti ukiwa unakula Mrungi then unakunywa bia au Lique unakuwa hulewi mi naona kama ushuzi tu.
So unataka kutuambia Mirungi isiliwe hapa nchini eti kisa ukinywa na pombe hulewi?
Hii sheria peleka nyumbani kwako.

3. Unapokuja na hoja kuwa Mirungi ikikutuma kuwa na mwanamke basi utamfuata umbali wowote na ikikutuma kutokuwa nae basi hutamtamani mwanamke yeyote mi napingana nayo.
Kumfuata mwanamke umbali wowote sio tu ukila Mirungi.
Hii inategemea mnapendana kiasi gani na mko na ukaribu gani.
So hata mlevi anaweza kufunga safari akamfuata mwanamke wake mile kadhaa.
So kwa hapo pia nakuona wewe saa mbovu tu.

4. Unapoandika na kusema eti mlaji wa Mrungi akishaanza kutafuna tu basi anakuwa hana mpango wa kufanya kazi kwa siku hiyo nao ni uharo tu na wala sio hoja ya kupelekea mtu kukatazwa kula mrungi. Swali nalokuuliza je wakati wewe unakula Mirungi je uliwahi kula mirungi sambili asubuhi? Au umewahi kuona vijana au mijuve ya Kenya ikilaumiwa kwa kula mti wakati wa kazi?
Au wewe uliwahi kuacha kufanya kazi na kula Mrungi tu?

Then kwa kukupongeza tu ni kuwa hapo u pia walaji Mirungi hawana tabia za uasherati...thats good.
Je unataka taifa lenye waasherati?
Na madhara ya uasherati?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom