Dalton elijah
JF-Expert Member
- Jul 19, 2022
- 780
- 1,831
Waziri Mkuu wa zamani wa Bangladesh Khaleda Zia, ambaye wengi walidhani kuwa angeshinda katika Uchaguzi wa mwaka ujao kuongoza nchi yake kwa mara nyingine tena, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 80.
Khaleda alikuwa na ugonjwa wa cirrhosis ya ini, kisukari, kifua na matatizo ya moyo, Madaktari wake walisema.
Licha ya miaka mingi ya afya mbaya na kifungo, Zia aliapa mwezi Novemba kufanya kampeni katika uchaguzi uliopangwa kufanyika Februari 2026, kura ya kwanza tangu vuguvugu la lililompindua mpinzani wake mkuu Sheikh Hasina mwaka jana.
Mwishoni mwa Novemba, alikimbizwa hospitalini, ambapo, licha ya juhudi kubwa za madaktari, hali yake ilizidi kuwa mbaya kutokana na msururu wa masuala ya kiafya.
Zia, alikuwa Waziri Mkuu wa Bangladesh kutoka mwaka 1991 hadi 1996, na tena kutoka 2001 hadi 2006. Alikuwa mwanamke wa kwanza kuhudumu kama Waziri Mkuu wa nchi hiyo.
Waves of people from Dhaka and elsewhere had been streaming in toward the venue on Manik Mia Avenue, outside the parliament building, since early morning. Witnesses said many cried, calling Zia their “mother” as they arrived at the venue, with some traveling overnight from rural areas to join the prayers. In neighborhoods kilometers (miles) away, crowds also spilled into major streets to pray.
Zia’s funerals were expected to draw hundreds of thousands of her supporters and people from across the country while dignitaries from India, Pakistan, Sri Lanka and Nepal also arrived in Dhaka, with local media saying foreign envoys and representatives from 32 countries joined the funeral ceremony. She will be buried beside the grave of her husband, a former president who was assassinated in a military coup in 1981, in a park outside the parliament building later Wednesday.
Zia came to politics after her husband’s death and rose to prominence as an opposition leader during a nine-year movement against a former military dictator who was ousted in a mass uprising in 1990. Zia became prime minister for the first time in 1991, with a landslide victory in a democratically held national election as the country introduced parliamentary democracy. She was the leader of her Bangladesh Nationalist Party till her death.
Source: AP
Khaleda alikuwa na ugonjwa wa cirrhosis ya ini, kisukari, kifua na matatizo ya moyo, Madaktari wake walisema.
Licha ya miaka mingi ya afya mbaya na kifungo, Zia aliapa mwezi Novemba kufanya kampeni katika uchaguzi uliopangwa kufanyika Februari 2026, kura ya kwanza tangu vuguvugu la lililompindua mpinzani wake mkuu Sheikh Hasina mwaka jana.
Mwishoni mwa Novemba, alikimbizwa hospitalini, ambapo, licha ya juhudi kubwa za madaktari, hali yake ilizidi kuwa mbaya kutokana na msururu wa masuala ya kiafya.
Zia, alikuwa Waziri Mkuu wa Bangladesh kutoka mwaka 1991 hadi 1996, na tena kutoka 2001 hadi 2006. Alikuwa mwanamke wa kwanza kuhudumu kama Waziri Mkuu wa nchi hiyo.
===========
DHAKA, Bangladesh (AP) — Huge crowds flocked to the area outside Bangladesh’s national parliament building in the capital Wednesday to attend the funeral prayers for former Prime Minister Khaleda Zia , who died a day earlier at the age of 80 after a prolonged illness.Waves of people from Dhaka and elsewhere had been streaming in toward the venue on Manik Mia Avenue, outside the parliament building, since early morning. Witnesses said many cried, calling Zia their “mother” as they arrived at the venue, with some traveling overnight from rural areas to join the prayers. In neighborhoods kilometers (miles) away, crowds also spilled into major streets to pray.
Zia’s funerals were expected to draw hundreds of thousands of her supporters and people from across the country while dignitaries from India, Pakistan, Sri Lanka and Nepal also arrived in Dhaka, with local media saying foreign envoys and representatives from 32 countries joined the funeral ceremony. She will be buried beside the grave of her husband, a former president who was assassinated in a military coup in 1981, in a park outside the parliament building later Wednesday.
Zia came to politics after her husband’s death and rose to prominence as an opposition leader during a nine-year movement against a former military dictator who was ousted in a mass uprising in 1990. Zia became prime minister for the first time in 1991, with a landslide victory in a democratically held national election as the country introduced parliamentary democracy. She was the leader of her Bangladesh Nationalist Party till her death.
Source: AP