Ab-Titchaz
JF-Expert Member
- Jan 30, 2008
- 14,631
- 4,225
Prime Minister of Kenya, Raila Amolo Odinga speaks during a press conference on March 8, 2012 at the EU Headquarters in Brussels.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Musee amevaa 'kabuti'
Maana yake ni nini?
Ila Raila yuko smart sana siyo sawa na M*kwere
siyo sawa na huyo mnayemuita mtoto wa mkulimaIla Raila yuko smart sana siyo sawa na M*kwere
Huyu Raila ni Kibaraka wa Uingereza na Marekani; anataka kurejesha Kenya chini ya udhibiti wa wakoloni hao. Sasa wanataka kumuadhibu Kibaki kwa kumpelekea Hague kutokana na misimamo yake ya kushirikiana na china katika sekta za biashara, usalama na kijeshi. Lakini naona Raila atafeli. Hebu subirini kile kitabu cha Miguna Minguna, kiko jikoni kinaandikwa na Republicans wanaompinga binamu yake Odinga yaani Obama.
Viongozi zote za Afrika ni vitarishi tu.
Zile ambazo zinakataa utarishi huwa zinashugulikiwa kama Gaddafi, kama Mugabe.
Kwanza viongozi zenyewe zinagushi kura,zinajitangazia ushindi na hazipo kwa maslahi ya mataifa yao bali matumbo yao.
Huko si ajabu amekwenda kuripoti kuhusu kazi aliyopewa, operation Al shabaab.
Erfan,
..mbona Raila alikuwa China kutafuta investors?
..Republicans wanaompinga Obama wanajaribu kumpakazia kwamba ni Mkomunisti.
..zaidi wanajaribu kumuunganisha Obama Sr na Oginga Odinga ambaye kuna kipindi alikuwa mfuasi wa siasa za mrengo wa kijamaa/kikomunisti.
NB:
..hata Raila nadhani alisoma Ujerumani Mashariki ile ya Wakomunisti, tena inasemekana alipita hapa Tanzania na kusafiri kwa passport yetu. naomba kusahihishwa kama nimekosea.
..wengine waliopata kutumia travelling "documents" za Tanzania ni Mzee Nelson Mandela na Miriam Makeba wakati wa utawala wa makaburu Afrika kusini.