Comi JF-Expert Member Oct 2, 2011 3,328 955 Sep 14, 2012 #1 Katika kutekeleza sheria za nchi, nchini misri waliyekuwa waziri mkuu katika utawala wa hossan mubaraka amehukumiwa jela miaka 3 kwa kosa la ufisadi. Tanzania sheria ni kwa ajili ya nani?
Katika kutekeleza sheria za nchi, nchini misri waliyekuwa waziri mkuu katika utawala wa hossan mubaraka amehukumiwa jela miaka 3 kwa kosa la ufisadi. Tanzania sheria ni kwa ajili ya nani?