Mkalukungone Mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 2,437
- 5,235
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema katika kipindi cha Novemba, 2020 hadi Februari, 2025, Serikali ilitumia shilingi trilioni 1.49 kununua ndege saba ambapo ndege sita ni za abiria na ndege moja ni ya mizigo.
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Amesema ununuzi wa ndege hizo umelifanya Shirika kuwa na jumla ya ndege 16 ambazo zimeimarisha na kuongeza safari za ndege za ndani na nje ya nchi
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Amesema ununuzi wa ndege hizo umelifanya Shirika kuwa na jumla ya ndege 16 ambazo zimeimarisha na kuongeza safari za ndege za ndani na nje ya nchi