mwanamwana
JF-Expert Member
- Aug 1, 2011
- 1,076
- 4,113
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewataka mawaziri kusitisha ziara zao za ukaguzi wa miradi ya maendeleo mbalimbali na badala yake majukumu hayo yaelekezwe kwa Wakurugenzi ikibidi kwa Makatibu wakuu wa Wizara.
Waziri Mkuu amewata Mawaziri hao angalau kwa asilimia 75 ya ziara zao zielekezwe kwenye mapambano dhidi ya ugonjwa wa COVID-19
Mawaziri hakikisheni katika kipindi hiki ziara za kwenda kukagua miradi zielekezwe kwa wakurugenzi ikibidi kwa makatibu wakuu, mawaziri mnatakiwa mjikite katika kukinga Taifa na corona,” alisema Majaliwa.
Waziri Mkuu ameyasema hayo wakati yupo kwenye Kikao na Mawaziri na Makatibu jijini Dodoma.
Waziri Mkuu amewata Mawaziri hao angalau kwa asilimia 75 ya ziara zao zielekezwe kwenye mapambano dhidi ya ugonjwa wa COVID-19
Mawaziri hakikisheni katika kipindi hiki ziara za kwenda kukagua miradi zielekezwe kwa wakurugenzi ikibidi kwa makatibu wakuu, mawaziri mnatakiwa mjikite katika kukinga Taifa na corona,” alisema Majaliwa.
Waziri Mkuu ameyasema hayo wakati yupo kwenye Kikao na Mawaziri na Makatibu jijini Dodoma.