AGROPRODUCT
JF-Expert Member
- Apr 2, 2023
- 242
- 750
Nani yupo nyuma Ya VIONGOZI WA AMCOS
Wakulima wa Mji mdogo wa Matui Wilayani Kiteto Tunashanga. Nguvu na uhalali wa Viongozi wa AMCOS Matui,
Chama hichi Cha ushirika Matui, hakijawahi kuitisha Mkutano wa wanachama Wala kusoma Mapato na Matumizi, Kikubwa Zaidi hata Bodi ya Uongozi haipo , wajumbe karibu wote , Muda wa Mwenyekiti kuongoza ulishaesha , Wamejiongezea kinyemela,
Hata Mali za Ushirika Zinatumuka na hao viongozi Kuna Trekta wamejibinafisia Viongozi wanatumia kulimia mashamba Yao. AMCOS huo ushirika hawajulikani hata kama walimaliza Deni la Trekta Hilo kutoka Banki pamoja na Hela za kununulia Alizeti.
Pamoja na kutokuwa na Viongozi Hali Wala kutokuitisha Mikutano Wala Uchaguzi. Bado wamepewa nafasi ya Kusimamia MNADA Wa kwanza wazao la MBAAZI .
Je, hizi pesa za wakulima wa Mbazi ambao watapeleka Mnadani tarehe 05/09/2023 siku ya jumanne.
Wananchi wa Matui tunawasiwasi na Mashaka makubwa na Mbaazi zetu na Hela Zetu.
Kwa Hali ilivyo Kuna watu wazito ndio wanawabeba Hawa viongozi.
Tunaomba Waziri wa Kilimo na Waziri Mkuu waunde tumevya kitaalamu ya kuja kuchunguza hichi Chama Cha Ushirika Amcos Matui
Wakulima wa Mji mdogo wa Matui Wilayani Kiteto Tunashanga. Nguvu na uhalali wa Viongozi wa AMCOS Matui,
Chama hichi Cha ushirika Matui, hakijawahi kuitisha Mkutano wa wanachama Wala kusoma Mapato na Matumizi, Kikubwa Zaidi hata Bodi ya Uongozi haipo , wajumbe karibu wote , Muda wa Mwenyekiti kuongoza ulishaesha , Wamejiongezea kinyemela,
Hata Mali za Ushirika Zinatumuka na hao viongozi Kuna Trekta wamejibinafisia Viongozi wanatumia kulimia mashamba Yao. AMCOS huo ushirika hawajulikani hata kama walimaliza Deni la Trekta Hilo kutoka Banki pamoja na Hela za kununulia Alizeti.
Pamoja na kutokuwa na Viongozi Hali Wala kutokuitisha Mikutano Wala Uchaguzi. Bado wamepewa nafasi ya Kusimamia MNADA Wa kwanza wazao la MBAAZI .
Je, hizi pesa za wakulima wa Mbazi ambao watapeleka Mnadani tarehe 05/09/2023 siku ya jumanne.
Wananchi wa Matui tunawasiwasi na Mashaka makubwa na Mbaazi zetu na Hela Zetu.
Kwa Hali ilivyo Kuna watu wazito ndio wanawabeba Hawa viongozi.
Tunaomba Waziri wa Kilimo na Waziri Mkuu waunde tumevya kitaalamu ya kuja kuchunguza hichi Chama Cha Ushirika Amcos Matui