Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 28,475
- 45,784
Nadhani tungekuwa na kiwanda kimoja au viwili tungekuwa mbali sana. Tungeomba TOYOTA au VW waje kuitengeneza magari hapa, au japo kuhamishia nusu ya viwanda vyao tungekuwa mbali sana.... inawezekana kuna mgongano wa tafsiri ya hili neno kiwanda. Kwa tafsiri ya jadi, kiwanda kimoja sio rahisi kuwa nacho kwa mwaka mmoja kwa nchi yenye uchumi kama Tanzania.
Mkuu hili la kuweka viwanda vyao kwetu nafikiri huwa wanafanya uchunguzi mkubwa sana na mpaka wajiridhishe na hao mabalozi wanachunguza vitu vingi sana