nguruka wa kig0ma
JF-Expert Member
- Jan 16, 2020
- 2,946
- 2,929
Unakera wewe unayewasafisha pa kunyea wakuu wako kwa ulimi wanapotoka kunyaKazi kushindana kufungua nyuzi za kulialia Kama watoto mnakera kweli
Unakera wewe unayewasafisha pa kunyea wakuu wako kwa ulimi wanapotoka kunyaKazi kushindana kufungua nyuzi za kulialia Kama watoto mnakera kweli
Ushauri umepokelewa.Hivi Kwako Wewe hakuna Mema yaliyofanywa na Awamu hii badala yake Wewe kila Jambo tu unalichukia? Jifunze kuwa Mtu Kati itakusaidia sana.
Wewe nae ni mpumbavu kuliko wapumbavu wote duniani, kipi bora maisha ya watu mema anayotenda huyo mnayemsifia kila kukicha?
Bora Mimi nawasafisha kwa ulimi wewe wakuu wako wanakusafisha pa kunyea kwa dushele zaoUnakera wewe unayewasafisha pa kunyea wakuu wako kwa ulimi wanapotoka kunya
Mimi binafsi sioni kitu kilichofwa yaaniHivi Kwako Wewe hakuna Mema yaliyofanywa na Awamu hii badala yake Wewe kila Jambo tu unalichukia? Jifunze kuwa Mtu Kati itakusaidia sana.
Madaraka ni dhamana ya muda mfupi sana !Majaliwa ni mnafiki mwingine mkubwa sana. Kauli zake na vitendo vyake haviendani kabisa.
Missile of the Nation
Mwambie Kigaila apinge basi tuone.huyu ajifunze kwa Kalanga
Napinga mimiMwambie Kigaila apinge basi tuone.
Huku umejificha nyuma ya keyboard.Napinga mimi
Kuna miungu mingi. Na mungu wa Majaliwa siyo Mungu wa MbinguniLeo nimemsikiliza waziri mkuu ndugu Majaliwa akiwa kwenye kongamano la viongozi wa dini la kuisifu serikali.
Waziri Mkuu ameutangazia umma wa Watanzania kuwa serikali italinda Amani wakati wote hata kipindi cha uchaguzi mkuu, na akataka siasa za kistaarabu.
Wakati akiyasema hayo, viongozi wa vyama vya ACT kwa takribani wiki moja sasa wanalaani vikali vitendo vya kinyama, vya utekaji na kujeruhiwa kwa wagombea wao wa ngazi za ubunge na udiwani katika jimbo la Ruangwa ambalo ndilo jimbo la ubunge la waziri mkuu.
Katika press conference iliyofanyika jana, katibu Mkuu wa ACT ndugu Ado Shaibu amemtaka Waziri mkuu ambaye ndiye mwenye dhamana ya utendaji wa kila siku wa serikali atumie mamlaka yake kukomesha vitendo hivi vya kihuni, kinyama na kikatili visiendelee katika jimbo lake.
Sisi wananchi tungependa kufahamu; Je, Waziri Mkuu amechukua hatua gani zilizo ndani mamlaka yake ya kuwabaini waliohusika ili sheria ichukue mkondo wake na kukomesha vitendo hivi vya kinyama visitokee tena?
Wananchi tungependa kujua ili tuweze kuiamini kauli yake aliyoitoa leo mbele ya viongozi wa dini kuwa yeye binafsi ataendesha kampeni za kistaarabu, zisizo za uonevu kwa wengine, maana matendo ya utekaji wa wagombea wengine wasio wa chama cha mapinduzi katika jimbo hilo yanatuogopesha sana!
Na wewe fungua uzi wa kuchekacheka, hujakatazwa!Kazi kushindana kufungua nyuzi za kulialia Kama watoto mnakera kweli
Huyo kaweweseka na kimbunga cha Lissu. Muonee huruma tu. Ameona kabisa Lissu anachukua nchi hapo October hivyo anaishia kufokea tu kutuliza hasira.Leo nimemsikiliza waziri mkuu ndugu Majaliwa akiwa kwenye kongamano la viongozi wa dini la kuisifu serikali.
Waziri Mkuu ameutangazia umma wa Watanzania kuwa serikali italinda Amani wakati wote hata kipindi cha uchaguzi mkuu, na akataka siasa za kistaarabu.
Wakati akiyasema hayo, viongozi wa vyama vya ACT kwa takribani wiki moja sasa wanalaani vikali vitendo vya kinyama, vya utekaji na kujeruhiwa kwa wagombea wao wa ngazi za ubunge na udiwani katika jimbo la Ruangwa ambalo ndilo jimbo la ubunge la waziri mkuu.
Katika press conference iliyofanyika jana, katibu Mkuu wa ACT ndugu Ado Shaibu amemtaka Waziri mkuu ambaye ndiye mwenye dhamana ya utendaji wa kila siku wa serikali atumie mamlaka yake kukomesha vitendo hivi vya kihuni, kinyama na kikatili visiendelee katika jimbo lake.
Sisi wananchi tungependa kufahamu; Je, Waziri Mkuu amechukua hatua gani zilizo ndani mamlaka yake ya kuwabaini waliohusika ili sheria ichukue mkondo wake na kukomesha vitendo hivi vya kinyama visitokee tena?
Wananchi tungependa kujua ili tuweze kuiamini kauli yake aliyoitoa leo mbele ya viongozi wa dini kuwa yeye binafsi ataendesha kampeni za kistaarabu, zisizo za uonevu kwa wengine, maana matendo ya utekaji wa wagombea wengine wasio wa chama cha mapinduzi katika jimbo hilo yanatuogopesha sana!
Mmekuwa Kama vitoto kila saa vinalilia pipi,badala ya kushindana kuuza sera zenu kwa kutuambia miaka 5 iliyoisha mliwafanyia Nini wapiga kura wenu kwenye majimbo mlio ongoza/ na mtawanyia Nini,kazi kukesha jf kulialia kuweweseka kuropoka hovy hovyo na kupayuka tu, halafu mnaiwaza ikuluNa wewe fungua uzi wa kuchekacheka, hujakatazwa!
Mnafiki mkubwaLeo nimemsikiliza waziri mkuu ndugu Majaliwa akiwa kwenye kongamano la viongozi wa dini la kuisifu serikali.
Waziri Mkuu ameutangazia umma wa Watanzania kuwa serikali italinda Amani wakati wote hata kipindi cha uchaguzi mkuu, na akataka siasa za kistaarabu.
Wakati akiyasema hayo, viongozi wa vyama vya ACT-Wazalendo kwa takribani wiki moja sasa wanalaani vikali vitendo vya kinyama, vya utekaji na kujeruhiwa kwa wagombea wao wa ngazi za ubunge na udiwani katika jimbo la Ruangwa ambalo ndilo jimbo la ubunge la waziri mkuu.
Katika press conference iliyofanyika jana, katibu Mkuu wa ACT-Wazalendo ndugu Ado Shaibu amemtaka Waziri mkuu ambaye ndiye mwenye dhamana ya utendaji wa kila siku wa serikali atumie mamlaka yake kukomesha vitendo hivi vya kihuni, kinyama na kikatili visiendelee katika jimbo lake.
Sisi wananchi tungependa kufahamu; Je, Waziri Mkuu amechukua hatua gani zilizo ndani mamlaka yake ya kuwabaini waliohusika ili sheria ichukue mkondo wake na kukomesha vitendo hivi vya kinyama visitokee tena?
Wananchi tungependa kujua ili tuweze kuiamini kauli yake aliyoitoa leo mbele ya viongozi wa dini kuwa yeye binafsi ataendesha kampeni za kistaarabu, zisizo za uonevu kwa wengine, maana matendo ya utekaji wa wagombea wengine wasio wa chama cha mapinduzi katika jimbo hilo yanatuogopesha sana!
Haitoki moyoni ni sanaa tupuLeo nimemsikiliza waziri mkuu ndugu Majaliwa akiwa kwenye kongamano la viongozi wa dini la kuisifu serikali.
Waziri Mkuu ameutangazia umma wa Watanzania kuwa serikali italinda Amani wakati wote hata kipindi cha uchaguzi mkuu, na akataka siasa za kistaarabu.
Wakati akiyasema hayo, viongozi wa vyama vya ACT-Wazalendo kwa takribani wiki moja sasa wanalaani vikali vitendo vya kinyama, vya utekaji na kujeruhiwa kwa wagombea wao wa ngazi za ubunge na udiwani katika jimbo la Ruangwa ambalo ndilo jimbo la ubunge la waziri mkuu.
Katika press conference iliyofanyika jana, katibu Mkuu wa ACT-Wazalendo ndugu Ado Shaibu amemtaka Waziri mkuu ambaye ndiye mwenye dhamana ya utendaji wa kila siku wa serikali atumie mamlaka yake kukomesha vitendo hivi vya kihuni, kinyama na kikatili visiendelee katika jimbo lake.
Sisi wananchi tungependa kufahamu; Je, Waziri Mkuu amechukua hatua gani zilizo ndani mamlaka yake ya kuwabaini waliohusika ili sheria ichukue mkondo wake na kukomesha vitendo hivi vya kinyama visitokee tena?
Wananchi tungependa kujua ili tuweze kuiamini kauli yake aliyoitoa leo mbele ya viongozi wa dini kuwa yeye binafsi ataendesha kampeni za kistaarabu, zisizo za uonevu kwa wengine, maana matendo ya utekaji wa wagombea wengine wasio wa chama cha mapinduzi katika jimbo hilo yanatuogopesha sana!