Waziri Mkuu Alipokutana na 'School Mate Wake'

Waziri Mkuu Alipokutana na 'School Mate Wake'

Majaliwa kaishi maisha ya u-check bob long time! Hence bado anaonekana check bob
199a392a7b7f189cfa3c5a94867ac8d0.jpg
 
Naomba wale wanaowadanganya walioko maofisini kwenye viti vya kuzunguka na viyoyozi waache kazi wakalime wajionee mfano halisi.

Hao ndo watanzania halisi walioko vijijini ambao serikali ya CCM imeamua kuwanunulia Bombardier!
bado kuna utengo wa maisha kati ya walio nacho na wasio nacho
 
very sad
Uwaziri mkuu kwa Katiba ya bongo na urais wa jiwe ni afadhali uwe konstebo wa magereza tu. UPM wenyewe mara utishiwe nitapiga shangazi zako, mara uambiwe wewe naweza kukutimua tu maana hukuzaliwa PM nk! Yote haya unaambiwa hadharani!
 
Na hapo lazima maandalizi ya nini cha kuvaa yalifanyika ili atokee kwenye picha vizuri.

Siasa tamu sana.
 
Back
Top Bottom