dubu
JF-Expert Member
- Oct 18, 2011
- 3,496
- 3,461
aagiza watumishi walio iba hela katika halmashauri ya kishapu shinyanga wakamatwe. halimashauri amesema halmashauri ina sifa mbaya za ubadhilifu wa mali za uma. ameyasema hayo alipokuwa anafungua jengo kishapu. source rfa.
MY TAKE;
Sina uhakika kama kweli hao mafisadi wa Shinyanga watakamatwa. kwani si mara ya kwanza serikali inatoa maagizo bila utekelezaji wowote. kama ikitokea utakuwa mfano wa kuigwa.
MY TAKE;
Sina uhakika kama kweli hao mafisadi wa Shinyanga watakamatwa. kwani si mara ya kwanza serikali inatoa maagizo bila utekelezaji wowote. kama ikitokea utakuwa mfano wa kuigwa.