engmtolera
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,150
- 1,437
Waziri mkulo aishangaa Tanesco baada ya kukomba mabilioni ya pesa kutoka Tanesco,wakati huo ashangaa makusanyo ya mapato kutoka kwa wateja wa Tanesco yanakwenda wapi?
inamaana hapa hakuna mawasiliano kati ya Tanesco na Waziri
na hata makusanyo ya mapato kutoka Tanesco hayaelewiki yanafanya kazi gani
sasa mbona wanatuchanganya hawa watu? mimi bado siwaelewi,yaani simwelewi Waziri hata hajui ni kiasi gani Tanesco wanapata ktk makusanyo yao na haelewi hayo makusanyo yanatumika ktk matumizi yapi,na ilikuwaje waziri aruhusu mabilioni kutoka Hazina yaende Tanesco wakati bado anashaka na matumizi yao?
inamaana hapa hakuna mawasiliano kati ya Tanesco na Waziri
na hata makusanyo ya mapato kutoka Tanesco hayaelewiki yanafanya kazi gani
sasa mbona wanatuchanganya hawa watu? mimi bado siwaelewi,yaani simwelewi Waziri hata hajui ni kiasi gani Tanesco wanapata ktk makusanyo yao na haelewi hayo makusanyo yanatumika ktk matumizi yapi,na ilikuwaje waziri aruhusu mabilioni kutoka Hazina yaende Tanesco wakati bado anashaka na matumizi yao?