Awamu hii tuna kazi sana matamko ni mengi sana yasiyotimizika.
Ukiongea sana ina poteza maana halisi mbaya zaidi kila mtu ana tamko lake mara huyu hivi mara yule hivi....mambo mchanganyiko no common say and no common goal must fail for sure.
Passipo missions,plans,objectives na visions ni zero kila kitu ....anyway tukutane 2020 panapo majaliwa tumalize hasira zetu maana no goal la mkono no lubuvua hata kama ni mpya yupo no kila mandochi lazima ccm tuizike na kuifutilia mbali maana ni hatari kwa maisha ya Watz. toka uhuru hata mlo mmoja ni issue,ujinga uliopitiliza,umasikini uliokithiri,maradhi tena ya ajabu,ufisadi,maamuzi ya mwendokasi n.k. period!!!?