Waziri Mkuu aagiza walimu wahamie shuleni

Kukaa karibu Na kanisa au msikiti haimaanishi utaenda kuswali au kusali,tena unaweza kuwa mpagani zaidi.

Labda nyumba za karibu hazina miundombinu yote mizur, maji umeme Na muonekano wenyewe.
Labda pia kunachangoto zinhine zasingi ambazo hatuzifaaam.
Wanachi walivyo mambulula yanashangilia tu.
Wanashangilia kwa sab wanajua nyumba hazina tabu yoyote wewe hujui unaleta upinzani usio na tija wakati eneo husika hulijui unaleta labda labda zako hapa hujui kuwa waziri mkuu aliwahi kuwa mwalimu anajua anachokizungumza.
 
Mpaka saizi kuna watoto wanasomea chini ya miti. Na Je hao walimu wakihamia shuleni watakuwa wanaishi wapi?
Hajazungumzia shule za namna hiyo amezungumzia shule aliyotembelea ambayo amepewa malalamiko na wananchi wa shule husika na ametembelea nyumba na kuona hazina tatizo.
 
Mpaka saizi kuna watoto wanasomea chini ya miti. Na Je hao walimu wakihamia shuleni watakuwa wanaishi wapi?
Hivi wewe nyumbu unajua alikuwa anaongea na kinanani? na alikuwa wapi?
 
Nikajua wamewajengea nyumba kumbe wapange nyumba za jirani..
Unamchagulia vipi mtu mahala pa kuishi ikiwa anajilipia mwenyewe kodi ya nyumba?
Nafikiri angejikita kuwaambia wafike kwa wakati kwenye kituo cha kazi

Mwanafunzi anataka kujifunza mda wa ziada kwa mshahara gani huo wa mwalimu mpk atoe mda wa ziada kusaidia? mnamlipa huyo mwalimu huo mda wake wa ziada?

Aisee I used to like these guys bt for now I'm sorry Mr president & PM......

Nadhani wanaosema mnakurupuka naanza kuwaona wapo sahihi.....
 
Umati wa watu utakaojitokeza kesho utapeleka kilio kwa mafisadi.

Wananchi wako tayari kubadili katiba na kumruhusu magufuli awe rais wa milele ili kuyaangamiza kabisa mafisadi wa ufipa.
 
Kwahiyo katika yooote yakuboresha elimu ameona kuwalazimisha kukaa maeneo ya shule ndo suluhu? Yaani safari hii vitu vinafanyika vyakuchekesha sana nisawa na kutuma wanajeshi vitani badala ya kupiga adui anaangua maembe kwa risasi.
 
Hajazungumzia shule za namna hiyo amezungumzia shule aliyotembelea ambayo amepewa malalamiko na wananchi wa shule husika na ametembelea nyumba na kuona hazina tatizo.
Ila mnajitahidi kuwakingia vifua viongozi wenu kila wanapo bolonga.
 
Back
Top Bottom