Super Sub Steve
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 17,287
- 10,677
Nyumba hizo zinafaa kuishi binadamu?Isije ikawa nyumba hazina Ubora halafu wanalalamika tu mbona hawajapiga picha tuzione hizo nyumbaHajazungumzia shule za namna hiyo amezungumzia shule aliyotembelea ambayo amepewa malalamiko na wananchi wa shule husika na ametembelea nyumba na kuona hazina tatizo.