hawa hawaelewi kuwa nchi ni yetu sote na inatakiwa kuwa na maendeleo sawa na kwamba hata wanachato tunahitaji airport kama watu wengineko wanataka kila kitu kiwe dar
Sukuma empire
Mchakato wa hii issue ameipiga enzi akiwa Waziri na sidhani kama alitegemea angekuwa mkulu wa nchi hivyo lawama asingezipata yeye lakini Mungu si Athuman zama zimebadilika mara paaa amekuwa mkulu inabidi aone so kuzindua. Ameanaza kujipanga siku nyingi, rejea ile barabara ambayo enzi zile haikuwa chini ya TANROAD lakini ilijengwa kwa kiwango cha lami kuelekea kule (enzi hizo haikuwa makao makuu ya wilaya) na ndio ikafuata ile ya kuingia makao makuu ya wilaya BiharamuloDu! mpaka mwenyewe amejistukia na kujiona mjinga!!
Huo ni wa Chato mkuu kuweka record sawa...by the way nimependa comment yakoNadhani hii ni atua ktk maendeleo.
MWANZA NI mji mkubwa tunahitaji uwanja wa ndege.
SI Maendeleo ya JMP ni kwa watanzania wote
NA NI BORA KULIKO WALIOKUWA WANAGAWANA Pesa zote(mafisadi) huku hawajengi hata CHOO.
tubadilike TUSIWE WACHAWI (kwan 99.9% ya watanzania wachawi. NA UCHAWI MKUBWA hatupebdi watu wanaofanya vizuri ktk maisha yao kama JPM. na uchawi mwengine ni MIDOMO
Yap kuna hifadhi ya kisiwa cha Rubondo labda anataka kusaidia kukuza utalii wakeIv kuna mbuga za wanyama au kivutio chochote cha utaliii???!!!!! Mmmmmmmh hana washauriiiiiii nachoona kwa sasa tumwache tuuuuuu afanyeeemadudu yake
Kwa taarifa tu in kwamba tayari ujenzi wa hosptali ya rufaa umeshaanza ndani ya jiji la Chato.pigeni tu kelele hali sie hapa tunahitaji hadi mwendokasi wa Chato-CHART
Wewe ni fala mkubwa kama uchawi unao wewe kwani hao unaowaona wanajenga viwanja vya ndege vijijini hawagawani pesa za Umma? Ununuzi wa ndege, ujenzi wa Reli na ujenzi wa uwanja kuna 10% za Maliyamungu Bashite na Mtukufu na wenzao wizi upo pale pale kuna pesa inachukuliwa kienyeji kwenda kwa Lipumba wanagawana na hao boss zako bora asiyejenga choo kuliko kuacha kujenga viwanja vya miji mikubwa kama Tanga moro Musoma Tabora mtwara mnaenda kujenga kiwanja vichochoroni tena bila Bunge kuidhinisha pesaNadhani hii ni atua ktk maendeleo.
MWANZA NI mji mkubwa tunahitaji uwanja wa ndege.
SI Maendeleo ya JMP ni kwa watanzania wote
NA NI BORA KULIKO WALIOKUWA WANAGAWANA Pesa zote(mafisadi) huku hawajengi hata CHOO.
tubadilike TUSIWE WACHAWI (kwan 99.9% ya watanzania wachawi. NA UCHAWI MKUBWA hatupebdi watu wanaofanya vizuri ktk maisha yao kama JPM. na uchawi mwengine ni MIDOMO
Wewe ni fala mkubwa kama uchawi unao wewe kwani hao unaowaona wanajenga viwanja vya ndege vijijini hawagawani pesa za Umma? Ununuzi wa ndege, ujenzi wa Reli na ujenzi wa uwanja kuna 10% za Maliyamungu Bashite na Mtukufu na wenzao wizi upo pale pale kuna pesa inachukuliwa kienyeji kwenda kwa Lipumba wanagawana na hao boss zako bora asiyejenga choo kuliko kuacha kujenga viwanja vya miji mikubwa kama Tanga moro Musoma Tabora mtwara mnaenda kujenga kiwanja vichochoroni tena bila Bunge kuidhinisha pesa
Mchakato wa hii issue ameipiga enzi akiwa Waziri na sidhani kama alitegemea angekuwa mkulu wa nchi hivyo lawama asingezipata yeye lakini Mungu si Athuman zama zimebadilika mara paaa amekuwa mkulu inabidi aone so kuzindua. Ameanaza kujipanga siku nyingi, rejea ile barabara ambayo enzi zile haikuwa chini ya TANROAD lakini ilijengwa kwa kiwango cha lami kuelekea kule (enzi hizo haikuwa makao makuu ya wilaya) na ndio ikafuata ile ya kuingia makao makuu ya wilaya Biharamulo
Rock city mkuu nadhani kuna vya maana vingi sana hata kabla ya serikali kujenga barabara ya Mwanza to Dodoma kwa kiwango cha lami tulikuwa tunakula maziwa na asali kwa juhudi zetu mpaka miaka hii ya karibuni enzi za Mkapa ilipotukumbuka kwa kutujengea barabara za lami kutoka Nyanguge mpaka katikati ya mji na kutoka katikati ya mji mpaka airport (nadhani jibu la mkoa ninaotoka nimekupa sijui wewe mkoa wako uliotoka una maendeleo gani zaidi ya MAJIBU YA KIMAMA KAMA MUIMBA TAARABU)...JF ni kwa ajili ya kubadilishana mawazo kulingana na uwelewa wa mhusika hivyo na wewe kwa kuwa una akili za kichawi ndio maana unatuma msg za kichawichawi badala ya kunirekebisha kistaarabu...wewe ndio upo kama mkulu kwamba unachowaza wewe ndio sahihiMkoa uliotoka kuna nini cha maana ZAIDI uswahili, uchawi, no elimu, umbeya.ujinga, matusi, wavivu... hakuna HAJA YA KUPEWA KIPAUMBELE SASA ......
Kujuwa maana, sio kuelewa maana. Soma utafakali nilichoandika.Akizindua tabu asipozindua tabu!!!
Kujuwa maana, sio kuelewa maana. Soma utafakali nilichoandika.