Waziri Makamba naomba sikia kilio changu

Waziri Makamba naomba sikia kilio changu

PCB 2005

New Member
Joined
Dec 24, 2020
Posts
4
Reaction score
4
Nawasalimu kwa jina la Muungano wa Tanzania

Kuna kaka yangu anaishi Mlandege Wilaya ya Mkuranga Mkoani Pwani, amelipia gharama za kuunganishiwa huduma ya umeme pamoja na nguzo yake, lakini cha ajabu tangia alipie sasa inafika mwaka na miezi kadhaa bado hajapatiwa huduma hiyo.

Huwa wanamtumiaga tu meseji za kuwa wiki hii tunakuja kukuwekea umeme lakini mpaka wiki inaisha haoni TANESCO wala Kishoka zaidi ya mara mbili au tatu huwa wanamtumiaga meseji za namna hiyo na namba ni za TANESCO

Kuna mda anaendaga ofisini kwao na wanamwambiga hivyo hivyo tu kuwa wiki hii tutakuja kukufungia umeme na hakuna kinachoendelea hadi sasa mwaka na miezi inakatika.

Waziri wangu Makamba tusaidie
 
Nawasalimu kwa jina la Muungano wa Tanzania

Kuna kaka yangu anaishi Mlandege Wilaya ya Mkuranga Mkoani Pwani, amelipia gharama za kuunganishiwa huduma ya umeme pamoja na nguzo yake, lakini cha ajabu tangia alipie sasa inafika mwaka na miezi kadhaa bado hajapatiwa huduma hiyo.

Huwa wanamtumiaga tu meseji za kuwa wiki hii tunakuja kukuwekea umeme lakini mpaka wiki inaisha haoni TANESCO wala Kishoka zaidi ya mara mbili au tatu huwa wanamtumiaga meseji za namna hiyo na namba ni za TANESCO

Kuna mda anaendaga ofisini kwao na wanamwambiga hivyo hivyo tu kuwa wiki hii tutakuja kukufungia umeme na hakuna kinachoendelea hadi sasa mwaka na miezi inakatika.

Waziri wangu Makamba tusaidie
Ndugu Mteja!
Tafadhali onesha taarifa zifuatazo kwa wepesi wa kufanyia kazi swala lako:
Jina
Wilaya
Tatizo
Simu
Namba ya Mita
Namba ya taarifa/Ombi kama ipo
 
Nimefurahi kwa kufuatilia kwenu kwa haraka
 
Katika taasisi za serikali ambazo walau wako active kwenye kitengo cha mawasiliano, TANESCO mko vzr. Binafsi nimekuwa nikisaidika sana kupitia JF
 
Nawasalimu kwa jina la Muungano wa Tanzania

Kuna kaka yangu anaishi Mlandege Wilaya ya Mkuranga Mkoani Pwani, amelipia gharama za kuunganishiwa huduma ya umeme pamoja na nguzo yake, lakini cha ajabu tangia alipie sasa inafika mwaka na miezi kadhaa bado hajapatiwa huduma hiyo.

Huwa wanamtumiaga tu meseji za kuwa wiki hii tunakuja kukuwekea umeme lakini mpaka wiki inaisha haoni TANESCO wala Kishoka zaidi ya mara mbili au tatu huwa wanamtumiaga meseji za namna hiyo na namba ni za TANESCO

Kuna mda anaendaga ofisini kwao na wanamwambiga hivyo hivyo tu kuwa wiki hii tutakuja kukufungia umeme na hakuna kinachoendelea hadi sasa mwaka na miezi inakatika.

Waziri wangu Makamba tusaidie
Tafadhali onesha

Namba ya ombi au namba ya simu kwa ufatiliaji na hatua zaidi

Ahsante
 
Back
Top Bottom