:A S embarassed:
KAHAMA, 05 Jan 2012
MBUNGE wa jimbo la msalala wilayani kahama, mkoani Shinyanga, Ezekiel Maige ametoa shilingi milioni 500, zilizozutumika katika shughuli mbalimbali za kimaendeleo.
Mbunge huyo ambaye pia ni Waziri wa Maliasili na Utalii amesema fedha hizo zimetumika kuboresha elimu katika shule za sekondari za kata, barabara na ujenzi wa zahanati za vijiji.
Akizungumza katika kata ya Busangi, Waziri Maige amesema fedha hizo zimetumika kujenga Mabweni kwenye shule ya sekondari ya kata ya Isaka, Lunguya na Segese na madawati300 yaliyogawiwa kwenye shule tisa za sekondari katika jimbo la msalala.
Amesema katika fedha hizo, pia zimesaidia ununuzi wa mifuko 1200 ya saruji kwa ajili ya ujenzi wa zahanati za vijiji pamoja na ufungaji umeme wa Sora kwenye shule ya sekondari ya kata ya Ntobo na Ngaya pamoja na utafiti wa majiya visima virefu kwenye vijiji 32.
Kutokana na idadi ya ufaulu kuongezeka wilayani kahama, Waziri Maige amewataka wananachi kuhakikisha wanafanikisha ujenzi wa madarasa mapya ya shule za sekondari. ...
Jamani mgao wake wa wale vifalu na Tembo wetu walieonda kula tende na haluwa Oman kupitia KIA.
Kwani wale twiga washarudi? Tembo,chui,vifaru walisharudishwa kwani? Nani anayeidhinisha ugawaji wa vitaru? Tanapa ipo chini ya wizara gani? Mahoteli yanayojengwa kwenye mbuga za wanyama nani anaidhinisha ujenzi na upatikanaji wa viwanja? Tozo ya utalii na wageni nani wanaokusanya?