mwizi huyo! biashara gani zisizojulikama hizo? tatizo mitaji ya biashara za viongozi wa nchi hii, zinatokana na pesa za umma. Pia awalipi kodi kikamilifu na biashara zao azikaguliwi, kwa kuwa wao ni waheshimiwa. Baada ya dhurumat hiyo wanajifanya kutoa msaada kwa wananchi.