Mwanzo alisema kua sababu ni kuhofia "inbreeding "Azam Two nimemfuatilia amesa sababu ya kufa ni uzee na kukataliwa na faru jike ivo aliachwa porini aliwe hakuzikwa hakuna kaburi ila naona kama anajibu majibu mepesi kwenye maswali magumu
Hakutaka kufukuwa makabuliMh. Maghembe, amefafanua kuhusu Faru John, Mchakato ulianza Mei 2015 na kukamilika 08/12/2015 kabla ya uteuzi wake uliofanyika 28/12/2015. Tax Azam two