thetallest
JF-Expert Member
- Oct 21, 2017
- 8,256
- 9,085
Who's that!, let me guess!, Mr black hair, jokes!Amini usiamini kuna mtu anawekwa kati.Mzeri ranch au Mkata ranch,stay tuned!!
Who's that!, let me guess!, Mr black hair, jokes!Amini usiamini kuna mtu anawekwa kati.Mzeri ranch au Mkata ranch,stay tuned!!
Kwa waziri kutekeleza mpango huu nampa tick ya asilimia 100 ya utendaji unaoangalia maoni ya wananchi.
Kila uchao ni vita kati ya wakulima na wafugaji wakati kuna maeneo ambayo Ng'ombe na mbuzi wangeweza kukaa na kuondoa kero ya kuharibu mazao na vita visivyokwisha
Jidangaye,eti mkataba ni sheria hauvunjwi!,, Kila mkataba una conditions zakeHaiwezi kufuta, haina ubavu! Mkataba ni sheria.
Amini usiamini kuna mtu anawekwa kati.Mzeri ranch au Mkata ranch,stay tuned!!
Hapa anatafutwa EL tuu hakuna mwingine......pia Kigoda , JK wana ranchi pia....tutaona na kusikia mengi awamu hii visasi na komoana......Amini usiamini kuna mtu anawekwa kati.Mzeri ranch au Mkata ranch,stay tuned!!
Ipo Tanga wilaya ya Handeni.Mkubwa ranchi ya mzeri iko wapi? Nimepotea njia
Sumaye ndo aliyeuza Nyumba zetu!